Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Eleza dhana ya ushairi.

      

Eleza dhana ya ushairi.

  

Answers


Francis
Wanafunzi wengi hushindwa kueleza maana ya ushairi. Dhana ya ushairi inaweza kufafanuliwa kwa njia kadhaa.
Ushairi ni mojawapo wa utanzu wa fasihi andishi unaoelezea mawazo mazito kuihusu jamii na ulio na mpangilio mahsusi wa maneno yenye mtiririko, lugha ya mkato na urembo fulani wa aina yake.
Ni sanaa inayotambulishwa na mpangilio maalum wa vifungu ambao una mdundo maalum na aghalabu hutumia lugha ya mkato.
Shairi ni utungo wa kisanaa ambao hutumia lugha teule na kushirikisha mpangilio maalum wa maneno ili kuwasilisha ujumbe uliokusudiwa. Ni tungo za kishairi zenye maudhui maalum yanayomhusu mwanadamu na tabia zake.
francis1897 answered the question on January 30, 2023 at 12:31


Next: Ni mambo gani yanayobainika wazi, yanayoelezea ushairi umekuwa sanaa ya umma katika kipindi cha sasa?
Previous: Taja sifa za ushairi

View More Ushairi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions