Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua jinsi mbinu ya sadfa inavyojitokeza katika tamthilia ya Kigogo.

      

Fafanua jinsi mbinu ya sadfa inavyojitokeza katika tamthilia ya Kigogo.

  

Answers


Francis
? Ashua akiwa na Majoka ofisini, Husda anaingia bila kutarajiwa, Ashua anamaka na kubakia kinywa wazi.
? Majoka anaposoma gazeti anaona maoni kuwa Tunu awanie uongozi Sagamoyo, hakutarajia kuyaona maoni hayo gazetini.
? Chopi wanapozungumza na Majoka Mwango anafika na habari kuwa Majoka ana wageni, Tunu na Sudi ambao hakutarajia.
? Majoka anapongojea Husda katika hoteli ya kifahari Sagamoyo, Kenga anafika na habari kuwa mipango haikwenda walivyopanga, kuwa Tunu bado yupo, hakuvunjwa miguu, Majoka hatarajii Tunu kuwa mzima.
? Ni sadfa kwa kifo cha Ngao Junior kutokea sawia na kifo cha Ngurumo.
? Majoka anazirai siku kabla ya sherehe ya uhuru, anapopata habari kuhusu kifo cha Ngao Junior.
? Inasadifu kuwa siku ya sherehe ndio waandamanaji wanakuwa na mkutano katika soko la Chapakazi wakati ambapo wanatarajiwa kuhudhuria sherehe.
francis1897 answered the question on February 6, 2023 at 07:59


Next: Fafanua sifa na umuhimu wa Kenga katika tamthilia ya Kigogo.
Previous: Eleza jinsi umaskini unavyoathiri wenyeji wa Sagamoyo katika tamthilia ya Kigogo.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions