Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Colleges and Universities Offering Bachelor of Arts ( Kiswahili and Communication)() in Kenya

  • Course Name: Bachelor of Arts ( Kiswahili and Communication)()
  • Major Subject:
  • Course Category: Degree
  • Average Study Duration: 4 years

Colleges Offering Bachelor of Arts ( Kiswahili and Communication)()

  •  Laikipia University College, Nyahururu  
    Admission requirements
    - A minimum of a C+ in KCSE with a C+ in kiswahili or
    - Hold a relevant diploma with at least a credit pass
    Admission fees
    - Sh.2000
    Tuition fees
    - Sh.90,000-100,000 p.a
    Course duration
    - 4 years
    Mode of study
    - full time

Do you know a college which offers this course?Add it.

Universities Offering Bachelor of Arts ( Kiswahili and Communication)()

  • Egerton University Nairobi Campus Egerton University Nairobi Campus, Nairobi  
    Mahitaji Ya Kujiunga Na Shahada Ya B.A (Kiswahili Na Mawasiliano:-

    Mahitaji ya kawaida ya shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Egerton pamoja na yale ya kitivo cha elimujamii na maendeleo, yatatumika:

    Zaidi ya kutimiza mahitaji haya, mwanafunzi atahitaji kuwa na alama ya C+ katika Kiswahili ili kujiunga na shahada ya B.A (Kiswahili na Mawasiliano).

    i) Mwanafunzi pia atakubaliwa kujiunga na shahada ya B.A (Kiswahili na Mawasiliano) iwapo ana stashahada ya Diploma katika elimu kutoka kwa chuo chochote kile kinachotambulika. Mwanafunzi huyu ataruhusiwa kuhamisha hadi asilimia 30% ya tuzo alizopata katika stashahada ya diploma, kama inavyoruhusiwa na kanuni za chuo kikuu cha Egerton.

    ii) Waliohitimu kiumri pia wanaweza kujiunga na shahada ya B.A (Kiswahili na Mawasiliano) kutegemea vyeti vyao vya kiakademia vya awali pamoja na tajriba walizo nazo katika nyanja hii ya Kiswahili na mawasiliano kama itakavyopendekezwa na idara ya usomilugha na mawasiliano
  • Laikipia University College (Maralal Town Campus) Laikipia University College (Maralal Town Campus), Maralal  
    Minimum Entry Requirements:-

    An aggregate KCSE grade of C+ (PLUS) or a relevant Diploma from a recognized institution.
  • Catholic University of Eastern Africa Catholic University of Eastern Africa, Nairobi  
    This is mostly journalism course in the Catholic university

Do you know a university which offers this course?Add it.

More Courses




Return to Courses



     
Help improve this page

Find the best institute for yourself!

We need a few details from you so as to suggest relevant institutes