Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo

Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo.

Answers


ESTHER
Dhamira ni lengo kuu la mwandishi linalompa ari ya kuandika Kazi ya fasihi. Mwandishi wa Kigogo amedhamiria kukemea uongozi mbaya unaoendelezwa na mabwana weusi kama vile Majoka. Ameweka wazi uozo wanaouendeleza katika harakati za kujilimbikizia mali. Mwandishi pia amedhamiria kutukuza mwanamke ambaye kwa kipindi kirefu amesalia nyuma katika vita vya ukombozi. Hapa mwanamke amepewa kipao mbele na hivyo kuvunja taasubi za kiume katika jamii.

ESTHER STEVE answered the question on December 14, 2017 at 13:11

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions