Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.

“Wamelaa?’
“Enh wamelala”
“Basi wamelala tu?’

Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.

Answers


Maurice
Safia

(i) Anajifanya mwaminifu lakini analala na kimwana

(ii) Anajifanya anaka wasaidiane na kimwana kusoma kumbe ni mapenzi

(iii) Anajipamba kwa staha kama mtu anayejifunza lakini anafanya mapenzi na kimwana

(iv) Anapoulozwa na mamake kama ana jambo (mimba) anakasirika na kumwambia mamake aache kumfikiria mambaya. Anasema, “pamoja na kujilinda kwake”

(v) Anaavya mimba ili aonekane mwema lakini alikuwa tayari mjamzito.


Kimwana

(i) Anajifunga buibui na kuacha mdomo tu

(ii) Anasalimia wazazi wa safia kwa stahh

(iii) Alisalimiana kwa sauti hafifu asijulikane kuwa ni kijanadume
maurice.mutuku answered the question on August 5, 2019 at 08:47

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions