Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.
Ni mbinu gani za lugha zinazotumiwa katika sentensi hizi?(a) Juma si simba wetu hapa kijijini(b) Juma ni shujaa kama simba
Answer Attachments
Next: Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi ...
Previous: Sentensi ifuatayo ina maana mbili totauti. Zieleze Huyu amekuja kutuliza
View more Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index
Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi (a) Minghairi ya(b) Maadam
Date posted: September 25, 2017 . Answers (1)
Tunga Sentensi tano kuonyesha matumizi matano tofauti ya neno KWA
Tunasema kifurushi cha kalamu………………………….. ya ndizi
Fafanua maana ya methali: Waso haya wana mji wao
Tumia kitenzi KAA inavyofaa kujazia nafasi zilizoachwai)Onyango alipofika mkutanoni alikosa mahali pa………………..ii)Watu walikuwa wamejaa na hapakuwa na kiti hata kimoja cha
Andika maneno mengine yenye maana sawa na i)Damu ii)Jura
Zifuatazo ni sehemu gani za mwili (i) Kisugudi(ii) Nguyu
Tunga sentensi moja ukitumia – ki – ya masharti
Unda jina kutokana na kivumishi hiki;Refu
Andika sentensi ifuatayo kwa wingiUwanja mwingineo umechimbuliwa kuongeza ule wa zamani