– Ili kuwe na lahaja moja rasmi kati ya hizo nyingi ya kutumiwa.
- Kuwe na hati moja rasmi ya kutumia katika maandishi ya Kiswahili (kirumi au kairabu-kiswahili
hutumia hati za kirumi
- Ili kuwe na lugha wastani ya kutumiwa katika tafsiri za maandishi k.m kutafsiri biblia
- Husawazisha maandishi ya kitaaluma yaliyokuwepo na kuandika kanuni za lugha – sarufi
- Kuwe na lugha moja ya kitawala
- Kuwe na lugha moja ya kujifunza
- Kuwe na lugha moja ya kutumia ktk elimu
- Kuwe na lugha moja ya kutumia kukuzwa
monica20 answered the question on October 10, 2017 at 15:36
-
Usanifishaji wa lugha ni nini?
(Solved)
Usanifishaji wa lugha ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Ala tuli ni nini?
(Solved)
Ala tuli ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi hii kwa kutumia kiwakilisho amba (alama 2)
Ubao upakwao rangi hupendeza
(Solved)
Kanusha sentensi hii kwa kutumia kiwakilisho amba (alama 2)
Ubao upakwao rangi hupendeza
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
(Solved)
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
(Solved)
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
(Solved)
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo (i) Angalau (ii) Aghalabu
(Solved)
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo
i) Angalau
ii) Aghalabu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
(Solved)
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mofimu
(Solved)
Eleza maana ya mofimu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
(Solved)
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Identify the method used in making sangoan tools.
(Solved)
Identify the method used in making sangoan tools.
Date posted:
October 9, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: ...
(Solved)
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: i) kihusishi cha wakati
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
(Solved)
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sauti mwambatano
(Solved)
Eleza maana ya sauti mwambatano
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
"Rununu (simutamba) imeleta athari mbaya katika jamii." Jadili
(Solved)
"Rununu (simutamba) imeleta athari mbaya katika jamii." Jadili
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Linganisha na ulinganue fasihi simulizi na fasihi andishi.
(Solved)
Linganisha na ulinganue fasihi simulizi na fasihi andishi.
Date posted:
September 29, 2017
.
Answers (2)
-
Maana ya hadithi na sifa zake
(Solved)
Maana ya hadithi na sifa zake
Date posted:
September 27, 2017
.
Answers (1)
-
Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawili ya Kiswahili sanifu
(Solved)
Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawili ya Kiswahili sanifu
Date posted:
September 25, 2017
.
Answers (1)