Huyo mwenyewe hakuzingatia funzo la lishe bora.
monica20 answered the question on October 12, 2017 at 15:40
-
Tumia kirejeshi - O – tamati katika sentensi ifuatayo:
Kijana ambaye anapendeza ni yule ambaye hutia bidii.
(Solved)
Tumia kirejeshi - O – tamati katika sentensi ifuatayo:
Kijana ambaye anapendeza ni yule ambaye hutia bidii.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tumia neno “kimya” katika sentensi kama:
(i) Kielezi
(ii) Kihisishi
(Solved)
Tumia neno “kimya” katika sentensi kama:
(i) Kielezi
(ii) Kihisishi
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi hii kwa njia tatu tofauti ili kuleta dhana tatu tofauti.
Babu alimchapa nyanya
(Solved)
Akifisha sentensi hii kwa njia tatu tofauti ili kuleta dhana tatu tofauti.
Babu alimchapa nyanya
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kudhihirisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:
(Solved)
Tunga sentensi moja kudhihirisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Onyesha shadda katika neno lifuatalo: mlima
(Solved)
Onyesha shadda katika neno lifuatalo: mlima
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
Wakati
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
Wakati
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
i) Mahali
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
i) Mahali
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Andika sauti mwambatano inayotamkiwa kwenye ufizi.
(Solved)
Andika sauti mwambatano inayotamkiwa kwenye ufizi.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mfano mmoja mmoja taja makundi mawili ya sauti.
(Solved)
Huku ukitoa mfano mmoja mmoja taja makundi mawili ya sauti.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Nomino zifuatazo ziko katika ngeli gani?
(i)Makamasi
(ii)Boga
(Solved)
Nomino zifuatazo ziko katika ngeli gani?
(i)Makamasi
(ii)Boga
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya parandesi kama alama za uakifishaji.
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya parandesi kama alama za uakifishaji.
Date posted:
October 11, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya kikomo huku ukitolea mifano mwafaka.
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya kikomo huku ukitolea mifano mwafaka.
Date posted:
October 11, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini umuhimu wa kusanifisha lugha ya Kiswahili?
(Solved)
Ni nini umuhimu wa kusanifisha lugha ya Kiswahili?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Usanifishaji wa lugha ni nini?
(Solved)
Usanifishaji wa lugha ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Ala tuli ni nini?
(Solved)
Ala tuli ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
(Solved)
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
(Solved)
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mofimu
(Solved)
Eleza maana ya mofimu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
(Solved)
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)