a) Huhusu mashujaa wa jamii fulani.
b) Wahusika hupambana na hali ngumu inayosababishwa na maadui.
c) Wahusika hupewa sifa na uwezo usiokuwa wa kawaida k.v. ukubwa wa ajabu, nguvu katika kivuli, nguvu katika nywele, kutoulika n.k.
d) Wahusika hupigania haki za wanyonge.
e) Mhusika hukomboa jamii yake dhidi ya maadui.
kalvinspartan answered the question on October 20, 2017 at 15:29
-
Taja tofauti zozote nne baina ya mighani na visasili.
(Solved)
Taja tofauti zozote nne baina ya mighani na visasili.
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Fafanua nini maana visasili
(Solved)
Fafanua nini maana visasili
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mapisi
(Solved)
Eleza maana ya mapisi
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya tarihi.
(Solved)
Eleza maana ya tarihi.
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kumbukumbu katika fasihi simulizi.
(Solved)
Eleza maana ya kumbukumbu katika fasihi simulizi.
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Taja umuhimu wa soga katika jamii.
(Solved)
Taja umuhimu wa soga katika jamii.
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Taja sifa zozote tano za soga
(Solved)
Taja sifa zozote tano za soga
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vigano
(Solved)
Eleza maana ya vigano
Date posted:
October 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza sifa mbalimbali za sauti /ch/
(Solved)
Eleza sifa mbalimbali za sauti /ch/
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Taja tofauti kati ya konsonanti na irabu.
(Solved)
Taja tofauti kati ya konsonanti na irabu.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Kamilisha kwa vielezi viigizi vifuatavyo: (i) Funga mlango (ii) Yule mtu ananuka
(Solved)
Kamilisha kwa vielezi viigizi vifuatavyo:
i) Funga mlango
ii) Yule mtu ananuka
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Weka nomino zifuatazo katika ngeli zake. (i) Kipepeo (ii) Maziwa
(Solved)
Weka nomino zifuatazo katika ngeli zake.
i) Kipepeo
ii) Maziwa
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi katika kauli ya kutendewa ukitumia vitenzi vifuatavyo (i) Wa (ii) Chwa
(Solved)
Tunga sentensi katika kauli ya kutendewa ukitumia vitenzi vifuatavyo
i) Wa
ii) Chwa
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo katika umoja;
Hao wenyewe hawakuzingatia mafunzo ya lishe bora.
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo katika umoja;
Hao wenyewe hawakuzingatia mafunzo ya lishe bora.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tumia kirejeshi - O – tamati katika sentensi ifuatayo:
Kijana ambaye anapendeza ni yule ambaye hutia bidii.
(Solved)
Tumia kirejeshi - O – tamati katika sentensi ifuatayo:
Kijana ambaye anapendeza ni yule ambaye hutia bidii.
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tumia neno “kimya” katika sentensi kama:
(i) Kielezi
(ii) Kihisishi
(Solved)
Tumia neno “kimya” katika sentensi kama:
(i) Kielezi
(ii) Kihisishi
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi hii kwa njia tatu tofauti ili kuleta dhana tatu tofauti.
Babu alimchapa nyanya
(Solved)
Akifisha sentensi hii kwa njia tatu tofauti ili kuleta dhana tatu tofauti.
Babu alimchapa nyanya
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kudhihirisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:
(Solved)
Tunga sentensi moja kudhihirisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Onyesha shadda katika neno lifuatalo: mlima
(Solved)
Onyesha shadda katika neno lifuatalo: mlima
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
Wakati
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha;
Wakati
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)