Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja sifa nne za mighani

Taja sifa nne za mighani

Answers


KELVIN
a) Huhusu mashujaa wa jamii fulani.
b) Wahusika hupambana na hali ngumu inayosababishwa na maadui.
c) Wahusika hupewa sifa na uwezo usiokuwa wa kawaida k.v. ukubwa wa ajabu, nguvu katika kivuli, nguvu katika nywele, kutoulika n.k.
d) Wahusika hupigania haki za wanyonge.
e) Mhusika hukomboa jamii yake dhidi ya maadui.

kalvinspartan answered the question on October 20, 2017 at 15:29

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions