Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja sifa zinazozofananisha fasihi andishi na fasihi simulizi.

Taja sifa zinazozofananisha fasihi andishi na fasihi simulizi.

Answers


KELVIN
a)Zote mbili hushughulikia masuala yanayohusu maisha maisha ya binadamu.
b)Zote mbili Huhumia lugha kwa ubunifu kuwasilisha maudhui.
c)Zote mbili huwa na vipengele viwili vikuu, maudhui na fani (jumla ya mbinu msanii alizotumia kuwasilisha maudhui).
d)Zote mbili majukumu sawa k.v. kuburudisha, kuadilisha, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni, n.k.
e)Zote mbili zina utendaji-pale tamthilia na riwaya zinapoigizwa.
f)Zote mbili huzaliwa, hukua na hufa kutegemea mabadiliko ya wakati.

kalvinspartan answered the question on October 20, 2017 at 16:26

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions