Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja mambo tano yanayofaa kuzingatiwa katika uchambuzi wa ngano.

Taja mambo tano yanayofaa kuzingatiwa katika uchambuzi wa ngano.

Answers


KELVIN
i.Kutaja wahusika
ii.Kufafanua sifa za wahusika wakuu
iii.Maadili/mafunzo yanayojitokeza katika hadithi
iv.Kubainisha sifa za ngano/hurafa/hekaya, n.k. zinazojitokeza katika hadithi.
v.Kueleza umuhimu wa fomyula ya kuanzia/wimbo uliotumiwa katika hadithi.
vi.Kubainisha tamathali za usemi zilizotumiwa katika hadithi fulani
vii.Kuonyesha jinsi ngano inavyoshughulikia maudhui fulani.

kalvinspartan answered the question on October 24, 2017 at 14:12

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions