Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili

Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili

Answers


Christine
-Chanzo cha Kiswahili ni Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo

-Kiswahili ni tokeo la mwingiliano baina ya waafrika wa pwani na waarabu.

-Kiswahili kilitoka uraibuni

-Kiswahili ni lugha ya kibantu au

-Kiswahili kilitokea pwani ya Kenya eneo lililojulikana kama shungwaya,katika mpaka wa Kenya na Somali kutokana na jamii ya wangozi
Christine4 answered the question on December 23, 2017 at 07:37

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions