Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja sifa kabambe za hodiya

Taja sifa kabambe za hodiya.

Answers


kelvin
1. Maneno ya nyimbo hizi huwa ni ya kuhimiza.
2. Urefu wake hutegemea kazi na vifungu fulani vinaweza kurudiwarudiwa.
3. Mdudo hutegemea kazi inayofanywa, iwapo kazi itafanywa kwa utaratibu mdundo utafuata hali hiyo.
4. Huimbwa wakati watu wanapofanya kazi kila aina ya kazi ina hodiya yake, kwa mfano; wawe /vave ni nyimbo za wakulima. Kimai ni nyimbo zinazohusishwa na ubaharia.
5. Huimbwa na kundi la wafanyakazi au mtu mmoja wakati anapofanya kazi yake binafsi
6. Nyimbo hazihusishi ngoma kwa kuwa watu wote walishiriki kazi.

kevowmuchiri answered the question on July 24, 2018 at 12:42

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions