Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza matumizi ya mbinu ya utata katika vitendawili huku ukitolea mifano

      

Eleza matumizi ya mbinu ya utata katika vitendawili huku ukitolea mifano.

  

Answers


KELVIN
Baadhi y vitendawili huweza kufasiriwa kwa njia zaidi ya moja tunasema kitendawili cha aina hii kina utata. Utata katika vitendawili husababishwa na hali kwamba jibu la kitendawili hutokana na mazingira.watu tofauti huweza kuwa na majibu tofauti kwa kitendawili hicho hicho kutegemea hali ambayo inawazunguka.
Kwa mfano
i) Inachurura inaganda (asali au gundi )
ii) Gari la kila mtu (miguu au jeneza au kifo )

kalvinspartan answered the question on July 30, 2018 at 17:46


Next: Mbinu ya taswira hutumika vipi katika vitendawili?toa mifano miwili
Previous: Toa mifano ya vitendawili vinavyohusiana na methali

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions