Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Tunga sentensi kuonyesha matumizi tofauti ya th na dh

      

Tunga sentensi kuonyesha matumizi tofauti ya th na dh.

  

Answers


kelvin
Thamini
a) tia maanani, heshimu
Dhamini
a) toa pesa maakamani ili mshtakiwa asitiwe korokoroni
Thamani
a) kima
Dhamana
a) malipo ya kortini
Thibiti
a) kuwa ya kweli/kuaminika
b) Habari imethibiti.
Dhibiti
a) tia mkononi
b) Nikidhibiti pesa zangu kutoka kwake nitanunua baiskeli.
c) weka chini ya mamlaka
Ridhi
a) kubali
b) pendezwa na jambo
Rithi
a) miliki kitu kutoka kwa mtu aliyekufa ama uliye na uhusiano naye
b) pata jambo au ujuzi kutoka kwa mtu mwingine

kevowmuchiri answered the question on August 10, 2018 at 10:07


Next: Kwa kutungia sentensi onyesha matumizi ya sh na ch
Previous: Kwa kuunda maneno kisha kutunga sentensi, onyesha matumizi tofauti ya A/H

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions