
(a) Limekolea ulimwenguni kote na zaidi barani Afrika.
(b) Yamejitenga kama mbingu na ardhi / yako mbali kama mbingu na ardhi.
(c) i) Kuboresha mazingira ya uwekezaji ili vitega uchumi viongezekena kubuni nafasi za ajira
- Kupewa fursa za kielimu katika ngazi zote na kuhimiza mafunzo ya ujasiriamali na ufundi
- Kubuni mipango ya kuwawezesha vijana kujiajiri.
- Kulegeza masharti ya uwekezaji wa kigeni ili kuwavutia waanzishe miradi ya kubuni nafasi za ajira
- Ustawishaji wa kilimo ili kuzalisha mali na kubuni ajira zozote.
a) i) Wawekezaji wa kigeni huja na tabia kama ubasha / usenga na ndoa za jinsia moja zinazokinzana na maadili.
ii) Huleta tatizo la matumizi ya mihadarati ambalo limefuzu kuwa janga kama ukimwi zozote.
b) kushukia / kutaharuki
- itapasa / itafaa / italazimu / itahusu
- kilimo / ukulima
2. a) Watoto wa maskini hushinda njaa shuleni
- Walimu wao hawana ari ya kufunza na vifaa vya kutosha
- Shule za kibinafsi zina mazingira na vifaa vya kutosha
- Asilimia kubwa ya wanafunzi wanaojiunga na shule za upili hutoka katika shule za kibinafsi
- Juhudi za wizara ya elimu hazijafua dafu
- Nafasi zote katika shule za upili na kitaifa na vyuo huchukuliwa na watoto wa matajiri
- Nafasi ya mtoto maskini inazidi kudidimia zozote, utiririko.
b) Mikakati ya kimaksudi inahitajika kabla ya balaa kuzuka
- Shule za umma ziwe na mpango wa lishe bora
- Utu unahitajika katika utanzi wa wanafunzi katika nzazi mbalimbali
- Shule za umma zinahitajika walimu na vifaa vya kutosha
- Shule za malazi ziwe za viwango sawa ili kila mtoto awe na msingi bora wa elimu
- Ujenzi wa shule vielezo unahitajika katika kila wilaya
sharon kalunda answered the question on September 21, 2019 at 11:08
-
Nchi za Afrika Mashariki ziliunda kamati ya lugha ili kusanifisha na kukuza Kiswahili. Eleza malengo
manne makuu na mafanikio yake katika juhudi za usanifishaji.
(Solved)
Nchi za Afrika Mashariki ziliunda kamati ya lugha ili kusanifisha na kukuza Kiswahili. Eleza malengo
manne makuu na mafanikio yake katika juhudi za usanifishaji.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia 'na' kama;
(i) Kuunganisha
(ii) Kihusishi
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia 'na' kama;
(i) Kuunganisha
(ii) Kihusishi
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika ukubwa wingi.
Njia hii inafaa zaidi kuliko ile.
(Solved)
Andika katika ukubwa wingi.
Njia hii inafaa zaidi kuliko ile.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika methali inayotumiwa kutuhimiza kuthamini vitu viliyo karibu kwani ndivyo vitufaavyo wakatiwa janga.
(Solved)
Andika methali inayotumiwa kutuhimiza kuthamini vitu viliyo karibu kwani ndivyo vitufaavyo wakati wa janga.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Unda kitenzi kutokana na nomino;
abiria
(Solved)
Unda kitenzi kutokana na nomino;
abiria
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha katika wakati ujao hali timilifu.
Bwana arusi alivaa suti ya kupendeza.
(Solved)
Kanusha katika wakati ujao hali timilifu.
Bwana arusi alivaa suti ya kupendeza.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kitenzi kifuatacho katika hali ya kuamrisha kwa wingi.
(-la).
(Solved)
Andika kitenzi kifuatacho katika hali ya kuamrisha kwa wingi.
(-la).
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za nomino zilizotumika katika sentensi ifuatayo.
Wema alimpa mtoto yule maji ya baraka.
(Solved)
Bainisha aina za nomino zilizotumika katika sentensi ifuatayo.
Wema alimpa mtoto yule maji ya baraka.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha uamilifu wa viambishi katika neno lifuatalo.
Alimlilia.
(Solved)
Ainisha uamilifu wa viambishi katika neno lifuatalo.
Alimlilia.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya buda.
(Solved)
Eleza maana ya buda.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tofautisha kwa kueleza maneno ya istilahi zifuatazo.
(i) Silabi funge
(ii) Silabi mwambatano
(Solved)
Tofautisha kwa kueleza maneno ya istilahi zifuatazo.
(i) Silabi funge
(ii) Silabi mwambatano
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha silabi katika neno lifuatalo.
Nyweshwa.
(Solved)
Bainisha silabi katika neno lifuatalo.
Nyweshwa.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sifa mbilimbili bainifu za sauti.
/gh/
/a/
(Solved)
Andika sifa mbilimbili bainifu za sauti.
/gh/
/a/
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Je, mtazamo hasi ni nini? Huwa na athari gani kwa binadamu? Mtazamo hasi ni kukata tamaa, kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani.
(Solved)
Soma makala haya kisha ujibu maswali yanayofuata.
Je, mtazamo hasi ni nini? Huwa na athari gani kwa binadamu? Mtazamo hasi ni kukata tamaa, kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani. Ni hisia ya kutotaka kushiriki wala kuhusishwa na jambo au hali fulani. Mtazamo huu ndio huwafanya wanafunzi wengi kuchukia au hata kudunisha baadhi ya masomo na walimu wanaoyafundisha. Licha ya wengi kuwa na mtazamo huu, kwa kweli huwa hawatambui. Asilimia kubwa ya wanaotambua hutatizika kujikwamua kutoka katika hali hii.
Inakadiriwa kwamba mtu wa wastani huwa na takribani mawazo elfu sitini ya kibinafsi kwa kila saa 24. Asilimia 95 ya fikra hizi huwa sawa na siku iliyotangulia, na asilimia 80 ya fikra hizi zilizorudiwa huwa hasi. Isitoshe, fikra hizi nyingi hutokea bila mtu mwenyewe kutambua na huwa ni mazoea. Hii ina maana kwamba watu wengi hawana ufahamu wa athari za fikra hizi maishani mwao.
Mitazamo hasi ina vyanzo na pia suluhu. Mwanzo kabisa ni imani potovu. Hiki ndicho chanzo cha mitazamo hasi. Kushikilia imani potovu kuhusu maisha pamoja na matukio fulani maishani hujenga mtazamo hasi. Unayaona maisha kwa macho ya imani zako na iwapo imani hizo ni potovu, basi hutayathamini maisha yako ili kukabiliana na hali hii, sharti kwanza ubadili imani yako. Uamini kwamba mabadiliko yanaweza kutokea na uchukue hatua ya kuanzisha mabadiliko hayo maishani mwako. Unahitaji kuepuka fikra hasi zinazoambatana na maisha yako ya awali na kulithamini kila tukio maishani kama tukio huru; Lisilo na uhusiano na yaliyowahi kukutamausha.
Kujikwamua kutoka katika imani duni unahitaji kuibuka na idadi kubwa ya imani chanya kuliko zilizo hasi kuhusu hali mahsusi. Baada ya hilo, zikabili imani zako potovu moja baada ya nyingine huku ukijiuliza endapo imani hizo ni kweli na endapo zina mashiko. Tumia dakika tano hivi kila siku kushadidiafikra chanya inayokinzana na ile inayokudidimiza. Ukifanya hivi kwa takriban siku thelathini imani yako itaanza kuchukua mkondo unaofaa. Familia yako na rafiki unaoandamana nao huathiri pakubwa hisia zako. Wakiwa na mtazamo hasi huweza kukushawishi ukaanza kuhisi wanavyohisi na kuyaona mambo kwa mtazamo wao. Kukabiliana na hali wapaswa kudhibiti hisia zako.
Tawala namna unavyohisi na kukabiliana na hali mbalimbali bila kuathiriwa na wandani hawa. Epuka wandani wa aina hii kadri inavyowezekana, ikiwezekana, jitenge nao ili ujifunze kuwa na uhuru wa kufanya maamuzi yako binafsi bila kuathiriwa nao. Unapaswa kupunguza ushirika hata na jamaa zako wanaokuingiza katika hali ya kutamauka. Punguza muda wa kukaa nao hasa wanapogeukia mkondo huu wa kukutatiza tamaa.
Mazingira hasi ni kizingiti kingine. Pengine huoni ukuruba baina ya maisha yako na mazingira unamokulia au unamokaa. Ukweli ni kwamba, huenda umedumu katika mazingira hayo na kuyazoea hata ukafikiri huwezi kuyabadilisha. Kadri unavyohisi huna uwezo wa kuyabadilisha ndivyo unajizamisha zaidi mtazamo hasi. Ili kukabiliana na hali hii, unahitaji kuelewa kwamba fikra zako au za watangulizi wako ndizo silikuingiza katika mazingira haya. Kwa hivyo, unapaswa kubadili mkondo wa fikra zako na kuanza kujaribu mazoezi ambayo umekuwa ukiyaona kama usiyoyaweza. Hatua kwa hatua utagundua panapo jitihada na uelekezi unaofaa kwamba mazoezi hayo yamekuwa mepesi na hivyo kukubakikishia kuyabadilisha mazingira yako.
unapojikuta ukilalamika jinsi ulivyokerwa na hali fulani, hii ndiyo sababu hasa ya kuwa na mtazamo hasi kuhusu hali hizo. Inaweza kukuwia vigumu kulikubali hili lakini kadiri utakavyolikubali mapema ndivyo utayaboresha maisha yako mapema. Kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika na kuanza kujikwamua toka kwenye hali hizo. Katika kufanikisha jambo lolote jema sharti viwepo vizingiti njiani. Mtendaji wa jambo lolote jema liwalo ana jukumu la kuibuka na mikakati mwafaka ya kuvikabili vizingiti hivi ili afanikishe ndoto yake. Hii ndiyo sababu unapaswa kuchukua hatua kutokea sasa ili kupanga na kutekeleza mikakati itakayoupindua mtazamo wako hasi uwe chanya. Kwa jinsi hii utayabadilisha maisha yako yawe ya kuridhisha zaidi na kuwa kielelezo kwa wengi waliotamaushwa na mitazamo hasi.
Maswali.
(a) Fupisha aya ya kwanza. (maneno 45-50)
(b) Eleza namna ya kukabiliana na mitazamo hasi. (maneno 70 - 80)
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano, bainisha mbinu mbili zinazotumiwa kuunda istilahi mpya katika jamii ya leo.
(Solved)
Huku ukitoa mifano, bainisha mbinu mbili zinazotumiwa kuunda istilahi mpya katika jamii ya leo.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:
i) Vita
ii) Ndoa za mseto
(Solved)
Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:
i) Vita
ii) Ndoa za mseto
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.
(Solved)
Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika methali inayoafiki maelezo:
Hakuna chema kisichokuwa na madhara.
(Solved)
Andika methali inayoafiki maelezo:
Hakuna chema kisichokuwa na madhara.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)