-
Tunga sentensi yenye kiigizi na kihusishi cha mahali
(Solved)
Tunga sentensi yenye kiigizi na kihusishi cha mahali
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:-
Maksuudi alimjengea Tamima Kasri kwa matofali mazuri
(Solved)
Bainisha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:-
Maksuudi alimjengea Tamima Kasri kwa matofali mazuri
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja ukitumia kinyume cha neno ‘lewa’.
(Solved)
Tunga sentensi moja ukitumia kinyume cha neno ‘lewa’.
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ‘ji’ katika sentensi hii:
Mwimbaji amejikata jidole lake kwa jiwe
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ji’ katika sentensi hii:
Mwimbaji amejikata jidole lake kwa jiwe
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kitenzi ‘pwa’ katika kauli ya kutendea
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kitenzi ‘pwa’ katika kauli ya kutendea
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa ukubwa wingi:
Mke wa mzee huyu hupenda mtoto huyu sana.
(Solved)
Andika kwa ukubwa wingi:
Mke wa mzee huyu hupenda mtoto huyu sana.
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha sentensi ifuatayo:-
Chakula hakipikiki vizuri
(Solved)
Yakinisha sentensi ifuatayo:-
Chakula hakipikiki vizuri
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya mazoea:
(Solved)
Andika katika hali ya mazoea:
Mtambo ambao unakarabatiwa leo utatufaa
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kubainisha kiwakilishi kiambata nafsi ya kwanza wingi
(Solved)
Tunga sentensi moja kubainisha kiwakilishi kiambata nafsi ya kwanza wingi
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi:-
(i) Minghairi ya
(ii) Wala
(Solved)
Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi:-
(i) Minghairi ya
(ii) Wala
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha viwakilishi katika sentensi zifuatazo kisha ueleze ni vya aina gani:-
i) Unamjua vyema kweli?
(ii) Hicho wanachokitaka hakipo
(Solved)
Onyesha viwakilishi katika sentensi zifuatazo kisha ueleze ni vya aina gani:-
i) Unamjua vyema kweli?
(ii) Hicho wanachokitaka hakipo
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Pambanua viambishi mbalimbali katika sentensi ifuatayo
Waliwapendezea
(Solved)
Pambanua viambishi mbalimbali katika sentensi ifuatayo
Waliwapendezea
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tungia vitenzi vifuatavyo sentensi katika hali zilizobanwa:-
(i) Fa(mazoea)
(ii) La(kutendeka)
(iii) Pa (kutendea)
(Solved)
Tungia vitenzi vifuatavyo sentensi katika hali zilizobanwa:-
(i) Fa(mazoea)
(ii) La(kutendeka)
(iii) Pa (kutendea)
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua kwa njia ya mishale
Mama anapika na baba akisoma gazeti
(Solved)
Changanua kwa njia ya mishale
Mama anapika na baba akisoma gazeti
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi ifuatayo:-
Sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi, utaniazima siku ngapi bashiri
alimwuliza rita
(Solved)
Akifisha sentensi ifuatayo:-
Sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi, utaniazima siku ngapi bashiri
alimwuliza rita
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi halisi:-
Mama aliwahimiza warudi siku hiyo la sivyo wangekosa tuzo
(Solved)
Andika katika usemi halisi:-
Mama aliwahimiza warudi siku hiyo la sivyo wangekosa tuzo
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya “ka“ na utunge sentensi kwa kila mojawapo
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya “ka“ na utunge sentensi kwa kila mojawapo
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Unganisha sentensi hii kwa kutumia ‘O’ rejeshi :-
Wavu umekatika. Wavu ni wao
(Solved)
Unganisha sentensi hii kwa kutumia ‘O’ rejeshi :-
Wavu umekatika. Wavu ni wao
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi:-
(i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi
(ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze
(Solved)
Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi:-
(i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi
(ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana zinazojitokeza katika vifungu vifuatavyo:-
(i) Jambazi kutoka dukani liliiba.
(ii) Liliiba jambazi kutoka dukani.
(iii) Kutoka dukani jambazi liliiba.
(iv) Jambazi liliiba kutoka dukani.
(Solved)
Eleza maana zinazojitokeza katika vifungu vifuatavyo:-
(i) Jambazi kutoka dukani liliiba.
(ii) Liliiba jambazi kutoka dukani.
(iii) Kutoka dukani jambazi liliiba.
(iv) Jambazi liliiba kutoka dukani.
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)