Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Tunga sentensi moja kuonyesha tofauti ya maana kati ya ‘guna’ na ‘kuna’

      

Tunga sentensi moja kuonyesha tofauti ya maana kati ya ‘guna’ na ‘kuna’

  

Answers


Wilfred
Guna – Toa sauti ya kuonyesha kukataa au kushangaa.

Kuna - Kwangua au kwaruza kwa makucha
Wilfykil answered the question on October 5, 2019 at 07:53


Next: Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale/mistari:- Watoto wote wameamka mapema na wazazi wanatayarisha staftahi
Previous: Ainisha vitenzi katika tungo lifuatalo: Huyu alikuwa angali bwenini

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions