Mama alituchapa, akatupa chakula na maji.
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 07:12
-
Eleza matumizi ya ‘ka’ na ‘hu’ katika sentensi zifuatazo.
(i) Nilienda kanisani nikamkuta, nikamwamkua, nikamwomba msamaha.
(ii) Baba hufika nyumbani usiku wa manane
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ka’ na ‘hu’ katika sentensi zifuatazo.
(i) Nilienda kanisani nikamkuta, nikamwamkua, nikamwomba msamaha.
(ii) Baba hufika nyumbani usiku wa manane
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia ‘O’ rejeshi tamati
Nguo iliyonunuliwa si ile uliyoitaka
(Solved)
Tumia ‘O’ rejeshi tamati
Nguo iliyonunuliwa si ile uliyoitaka
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua mofimu katika neno lifuatalo
Waimbao
(Solved)
Tambua mofimu katika neno lifuatalo
Waimbao
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Linganisha na ulinganue sauti /k/na/g/
(Solved)
Linganisha na ulinganue sauti /k/na/g/
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi
(i) Kishirikishi kipungufu
(ii) Kikuu
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi
(i) Kishirikishi kipungufu
(ii) Kikuu
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kirejeshi kuonyesha mazoea katika sentensi ifuatayo: Mtoto anayelia ni huyu
(Solved)
Tumia kirejeshi kuonyesha mazoea katika sentensi ifuatayo:
Mtoto anayelia ni huyu
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Unda kitenzi kutokana na neno bora na utunge sentensi katika hali ya wingi.
(Solved)
Unda kitenzi kutokana na neno bora na utunge sentensi katika hali ya wingi.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha katika nafsi ya pili umoja
Tusipoonana na mgeni hatutafaidi
(Solved)
Yakinisha katika nafsi ya pili umoja
Tusipoonana na mgeni hatutafaidi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili ya sentensi ifuatayo.
Askari alimkimbilia mwizi.
(Solved)
Eleza maana mbili ya sentensi ifuatayo.
Askari alimkimbilia mwizi.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia neno “ngali” kutunga sentensi kuonyesha
(i) Kitenzi kisaidizi
(ii) Kitenzi kishirikishi
(Solved)
Tumia neno “ngali” kutunga sentensi kuonyesha
(i) Kitenzi kisaidizi
(ii) Kitenzi kishirikishi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia neno ganda katika kauli ya kutendana.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia neno ganda katika kauli ya kutendana.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika mifano ya sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Kipasuo cha kaakaa laini
(ii) Nazali ya ufizi
(Solved)
Andika mifano ya sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Kipasuo cha kaakaa laini
(ii) Nazali ya ufizi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Maneno hayo yako katika ngeli gani?
(i) Ridhaa
(ii) Nanasi
(Solved)
Maneno hayo yako katika ngeli gani?
(i) Ridhaa
(ii) Nanasi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika maana mbili za sentensi: Nenda ukamwone mwenyewe, usiogope.
(Solved)
Andika maana mbili za sentensi:
Nenda ukamwone mwenyewe, usiogope.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Kuza sentensi ifuatayo.
Nguo iliyoraruka itashonwa tena na fundi
(Solved)
Kuza sentensi ifuatayo.
Nguo iliyoraruka itashonwa tena na fundi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia neno “haraka” katika sentensi kama:
(i) Nomino
(ii) Kielezi
(Solved)
Tumia neno “haraka” katika sentensi kama:
(i) Nomino
(ii) Kielezi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika maana mbili za neno mradi.
(Solved)
Andika maana mbili za neno mradi.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Neno “mlango” lina maana ya “uwazi wa kuingilia nyumba.” Tunga sentensi mbili
kubainisha matumizi mawili ya neno hili
(Solved)
Neno “mlango” lina maana ya “uwazi wa kuingilia nyumba.” Tunga sentensi mbili
kubainisha matumizi mawili ya neno hili
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi tatu ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi hii
Pale ndiko alimoingia
(Solved)
Andika sentensi tatu ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi hii
Pale ndiko alimoingia
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Panga nomino hizi katika ngeli mwafaka
(i) Kipofu- .
(ii) Uyoga- .
(Solved)
Panga nomino hizi katika ngeli mwafaka
(i) Kipofu- .
(ii) Uyoga- .
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)