Alikimbia kwa nguvu zake zote lakini (ijapokuwa, ingawa) alishindwa kwa
vile/madhali/ kwa sababu kulikuwa na mwenye mbio kumliko.
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 08:47
-
Andika nomino mbili kutokana na kitenzi safari.
(Solved)
Andika nomino mbili kutokana na kitenzi safari.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kwa kutumia maneno yafuatayo kama vivumishi.
i) Sote.
ii) Zote.
(Solved)
Tunga sentensi kwa kutumia maneno yafuatayo kama vivumishi.
i) Sote.
ii) Zote.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya neno chungu kama lilivyotumiwa katika sentensi zifuatazo.
i) Chungu yule ni mkubwa.
ii) Chungu kile ni kikubwa.
(Solved)
Eleza maana ya neno chungu kama lilivyotumiwa katika sentensi zifuatazo.
i) Chungu yule ni mkubwa.
ii) Chungu kile ni kikubwa.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya msemo ufuatao. Teka bakunja.
(Solved)
Eleza maana ya msemo ufuatao.
Teka bakunja.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia “O” rejeshi katika sentensi hii.
Mwanafunzi ambaye hudurusu ndiye hupita mtihani.
(Solved)
Tumia “O” rejeshi katika sentensi hii.
Mwanafunzi ambaye hudurusu ndiye hupita mtihani.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
“Avunjaye nazi ni lazima afaidi tui.
(Solved)
“Avunjaye nazi ni lazima afaidi tui."
Eleza maana ya methali hii
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno yafuatayo yapo katika ngeli gani kisha tunga sentensi mwafaka:
(i) Manukato
(ii) Uwati
(Solved)
Bainisha maneno yafuatayo yapo katika ngeli gani kisha tunga sentensi mwafaka:
(i) Manukato
(ii) Uwati
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi zifuatazo
(i) Mtoto ambaye aliyekuwa anacheza ameanguka.
(ii) Vitabu hizi ambazo zimesahihishwa ni za wanafunzi.
(Solved)
Sahihisha sentensi zifuatazo
(i) Mtoto ambaye aliyekuwa anacheza ameanguka.
(ii) Vitabu hizi ambazo zimesahihishwa ni za wanafunzi.
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Neno kijana linaweza kutumiwa kama kivumishi au nomino, tunga sentensi kudhihirisha
(i) Kivumishi
(ii) Nomino
(Solved)
Neno kijana linaweza kutumiwa kama kivumishi au nomino, tunga sentensi kudhihirisha
(i) Kivumishi
(ii) Nomino
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja inayojumulisha sehemu hizi, Ala, kipozi, kitondo na chagizo
(Solved)
Tunga sentensi moja inayojumulisha sehemu hizi, Ala, kipozi, kitondo na chagizo
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha mofimu zinazojitokeza katika kitenzi hiki
Waliochekeshwa
(Solved)
Ainisha mofimu zinazojitokeza katika kitenzi hiki
Waliochekeshwa
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo katika hali ya udogo wingi
Njia nyembamba ni hatari kwa usafiri wa gari
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo katika hali ya udogo wingi
Njia nyembamba ni hatari kwa usafiri wa gari
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili kutofautisha matumizi ya vitate hivi: Dua na tua
(Solved)
Tunga sentensi mbili kutofautisha matumizi ya vitate hivi: Dua na tua
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tofautisha kati ya sauti ghuna na sauti si ghuna huku ukitolea mifano miwili kwa kila aina
(Solved)
Tofautisha kati ya sauti ghuna na sauti si ghuna huku ukitolea mifano miwili kwa kila aina
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha sentensi ifuatayo :
Mama hakutuchapa, hakutupa chakula wala maji
(Solved)
Yakinisha sentensi ifuatayo :
Mama hakutuchapa, hakutupa chakula wala maji
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ‘ka’ na ‘hu’ katika sentensi zifuatazo.
(i) Nilienda kanisani nikamkuta, nikamwamkua, nikamwomba msamaha.
(ii) Baba hufika nyumbani usiku wa manane
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ka’ na ‘hu’ katika sentensi zifuatazo.
(i) Nilienda kanisani nikamkuta, nikamwamkua, nikamwomba msamaha.
(ii) Baba hufika nyumbani usiku wa manane
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia ‘O’ rejeshi tamati
Nguo iliyonunuliwa si ile uliyoitaka
(Solved)
Tumia ‘O’ rejeshi tamati
Nguo iliyonunuliwa si ile uliyoitaka
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua mofimu katika neno lifuatalo
Waimbao
(Solved)
Tambua mofimu katika neno lifuatalo
Waimbao
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Linganisha na ulinganue sauti /k/na/g/
(Solved)
Linganisha na ulinganue sauti /k/na/g/
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi
(i) Kishirikishi kipungufu
(ii) Kikuu
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi
(i) Kishirikishi kipungufu
(ii) Kikuu
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)