Mwalimu mzee anaandika.
Kavungya answered the question on November 25, 2022 at 06:19
-
Tambulisha na ufafanue viambishi vilivyotumika katika Anamfundisha.
(Solved)
Tambulisha na ufafanue viambishi vilivyotumika katika Anamfundisha.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo kwa umoja.
Nywele zenu hukatika mnapoachana.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo kwa umoja.
Nywele zenu hukatika mnapoachana.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano taja miundo ya silabi.
(Solved)
Huku ukitoa mifano taja miundo ya silabi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Sauti /p/ ni kipasuo, sauti hizi ni gani?
i. / f /
ii. / l /
(Solved)
Sauti /p/ ni kipasuo, sauti hizi ni gani?
i. / f /
ii. / l /
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha nomino katika utungo huu.
Watoto wameenda kucheza.
(Solved)
Bainisha nomino katika utungo huu.
Watoto wameenda kucheza.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Taja nomino zozote mbili katika ngeli A-WA na uonyeshe miundo yake.
(Solved)
Taja nomino zozote mbili katika ngeli A-WA na uonyeshe miundo yake.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa:
Anacheza ngoma.
(Solved)
Andika udogo wa:
Anacheza ngoma.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia kiunganishi kifaacho kuunganisha sentensi hizi.
Mwizi alishikwa. Mwizi alipigwa sana.
(Solved)
Tumia kiunganishi kifaacho kuunganisha sentensi hizi.
Mwizi alishikwa. Mwizi alipigwa sana.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za vielezi katika sentensi hii.
Mtoto alikimbia mara sita uwanjani kisha akatembea kitausi.
(Solved)
Bainisha aina za vielezi katika sentensi hii.
Mtoto alikimbia mara sita uwanjani kisha akatembea kitausi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi yenye kitenzi kishirikishi kipungufu.
(Solved)
Tunga sentensi yenye kitenzi kishirikishi kipungufu.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Pigia mstari vivumishi kwenye sentensi hizi na ueleze ni vya aina gani.
(i) Mtoto mwenyewe ataleta kalamu.
(ii) Kitabu cha Musa hakipo
(Solved)
Pigia mstari vivumishi kwenye sentensi hizi na ueleze ni vya aina gani.
(i) Mtoto mwenyewe ataleta kalamu.
(ii) Kitabu cha Musa hakipo
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi katika wakati uliopita hali timilifu.
(Solved)
Tunga sentensi katika wakati uliopita hali timilifu.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha aina zifuatazo za mofimu.
(i) Mtu –
(ii) Samaki –
(iii) Anasoma –
(Solved)
Bainisha aina zifuatazo za mofimu.
(i) Mtu –
(ii) Samaki –
(iii) Anasoma –
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Nazali ya kaa laini
(ii) Kikwamizo ghuna cha mdomo na meno
(iii) Irabu ya nyuma wastani
(iv) Kimadende
(Solved)
Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Nazali ya kaa laini
(ii) Kikwamizo ghuna cha mdomo na meno
(iii) Irabu ya nyuma wastani
(iv) Kimadende
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali
CHEMA HAKIDUMU
Chema hakidumu, kingapendekeza,
Saa ikitimu, kitakuteleza
(Solved)
Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali
CHEMA HAKIDUMU
Chema hakidumu, kingapendekeza,
Saa ikitimu, kitakuteleza
Ukawa na hamu, kukingojeleza,
Huwa ni vigumu, kamwe hutaweza
Chema sikiimbi, kwamba nakitweza
Japo mara tumbi, kinshaniliza,
Na japo siombi, kipate n’ongeza,
Mtu haniambi, pa kujikimbiza
Chema mara ngapi, kinniondoka,
Mwanangu yu wapi? Hakukaa mwaka,
Kwa muda mfupi aliwatilika,
Ningefanya lipi, ela kumzika?
Chema wangu babu, Kibwana Bashee,
Alojipa tabu, kwamba anilee
Na yakwe sababu, ni nitengenee,
Ilahi Wahhabu, mara amtwee.
Chema wangu Poni, kipenzi nyanyangu,
Hadi siku hini, yu moyoni mwangu,
Yu moyoni ndani, hadi kufa kwangu,
Ningamtamani, hatarudi kwangu.
(Abdalla, Abdilatif, Sauti ya Dhiki)
MASWALI:
(a) Hili ni shairi la aina gani?
(b) Taja na ueleleze aina zozote mbili za bahari katika shairi hili.
(c) Eleza umbo la shairi hili.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.
Mhudumu: Mnakaribishwa. Menyu hii hapa.
Mtakula nini?
(Solved)
Soma mazungumzo yafuatayo kisha ujibu maswali yanayofuata.
Mhudumu: Mnakaribishwa. Menyu hii hapa.
Mtakula nini?
Mteja 1: Naomba uniletee mix na ugali. Fanya haraka.
Mteja 2: Mhudumu,hebu leta madodo na chemsha mbili. Pia niletee maji ya machungwa.
Mhudumu: Sawa. Baada ya dakika moja utapata yote uliyoagiza.
Mteja 1: (Akila) Wewe-Please bring me drinking water. Yawe baridi tafadhali.
Mhudumu: Ndiyo haya hapa mezani. Glasi ndio hii pia,karibu.
Mteja 2: Nina haraka mzee. Wapi tooth pick?
Mhudumu: Hizo hapo ,mezani karibu na maji.
Mteja 1: (Akiita) Mhudumu,naomba uniletee ugali saucer tafadhali.
Mhudumu: Naam.
Mteja 2: (Akisimama) Nimeshiba. Hizi hapa pesa
Niletee change haraka niondoke.
MASWALI
a) Ni sajili gani inayohusishwa katika mazungumzo haya?
b) Taja sifa zozote tano za sajili hii
c) Dondoa msamiati unaotambulisha sajili hii
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia herufi mwafaka kuainisha maneno katika sentensi hii.
Ingawa anataka kucheza karata,ni mlevi
(Solved)
Tumia herufi mwafaka kuainisha maneno katika sentensi hii.
Ingawa anataka kucheza karata,ni mlevi
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Sahihisha:
Kwenye nilisomea ni bali.
(Solved)
Sahihisha:
Kwenye nilisomea ni bali.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Nyambua
Filisisha (tenda)
(Solved)
Nyambua
Filisisha (tenda)
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi jina na kivumishi kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia kitenzi jina na kivumishi kutunga sentensi.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)