Ubao ambao haupakwi rangi haupendezi
monica20 answered the question on October 10, 2017 at 15:34
-
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
(Solved)
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
(Solved)
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
(Solved)
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo (i) Angalau (ii) Aghalabu
(Solved)
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo
i) Angalau
ii) Aghalabu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
(Solved)
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mofimu
(Solved)
Eleza maana ya mofimu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
(Solved)
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Identify the method used in making sangoan tools.
(Solved)
Identify the method used in making sangoan tools.
Date posted:
October 9, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: ...
(Solved)
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: i) kihusishi cha wakati
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
(Solved)
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sauti mwambatano
(Solved)
Eleza maana ya sauti mwambatano
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
"Rununu (simutamba) imeleta athari mbaya katika jamii." Jadili
(Solved)
"Rununu (simutamba) imeleta athari mbaya katika jamii." Jadili
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Linganisha na ulinganue fasihi simulizi na fasihi andishi.
(Solved)
Linganisha na ulinganue fasihi simulizi na fasihi andishi.
Date posted:
September 29, 2017
.
Answers (2)
-
Maana ya hadithi na sifa zake
(Solved)
Maana ya hadithi na sifa zake
Date posted:
September 27, 2017
.
Answers (1)
-
Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawili ya Kiswahili sanifu
(Solved)
Unda jina moja kutokana na majina yoyote mawili ya Kiswahili sanifu
Date posted:
September 25, 2017
.
Answers (1)
-
Yaandike maneno yafuatayo katika ufupi wake
(i) Shangazi zako
(ii) Mama zako
(Solved)
Yaandike maneno yafuatayo katika ufupi wake
(i) Shangazi zako
(ii) Mama zako
Date posted:
September 25, 2017
.
Answers (1)
-
Tofautisha maana
(a) Ningekuwa na uwezo ningesafiri kwenda ng’ambo
(b) Ningalikuwa na uwezo ningalisafiri kwenda ng’ambo
(Solved)
Tofautisha maana
(a) Ningekuwa na uwezo ningesafiri kwenda ng’ambo
(b) Ningalikuwa na uwezo ningalisafiri kwenda ng’ambo
Date posted:
September 25, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti ya semi mbili zilizopigwa mstari
(a) Kevoga hana muhali; ikiwa hawezi kukufanyia jambo atakwambia (hana muhali)
(b) Kevogo hana muhula; hivi sasa amekuambia hawezi kukufanyia...
(Solved)
Eleza tofauti ya semi mbili zilizopigwa mstari
(a) Kevoga hana muhali; ikiwa hawezi kukufanyia jambo atakwambia (hana muhali)
(b) Kevogo hana muhula; hivi sasa amekuambia hawezi kukufanyia jambo hili
Date posted:
September 25, 2017
.
Answers (1)