
(a)Wazee hao hawakutumia sukari nyeupe, kwa hivyo hawakujiongezea mwilini au waliishi katika
kipindi ambacho sukari inayotengenezwa viwandani haikuweko.
b) (i) Hutumika katika vinywaji kama uji na chai.
(ii)Hutumika kupika vyakula kama keke au mahamri
(c) (i) Huchangia kuoza na kuharibika kwa meno pamoja na matatizo ya meno kuuma.
(ii) Husababisha maradhi ya kisukari, moyo na hipoglisimia.
(iii) Huleta maradhi ya ngozi, figo na ongezeko la kolestroli, ambayo ni kemikali hatari mwilini.
(iv) Huleta kipandauso; ugonjwa wa ghafla wa kuumwa na kichwa upande mmoja.
(d) Sukari yenye manufaa ni ya asilia itokanayo na vyakula kama nafaka, matunda, mboga na
miwa na asali kwa sababu huwa na virutubishi vimejaaa sukari asilia)
(e) (i) Ndani ya mwili
a) Huupa mwili vitamin, madini na amino asidi.
b) Huupa mwili nishati.
c) Huchangamsha mwili/husaidia usagaji wa chakula/husaidia mwili kujikinga na maradhi kama
homa/huzidisha kiango cha himoglobini na kupunguza uwezekano wa watoto wadogo kupata
anemia/husaidia pia kuondoa harufu mbaya kinywani.
(ii) Nje ya mwili
d) Hufanya ngozi kung’ara/huondoa vipele na ugumu wa ngozi/hutibu kule ngozi imekatika
katika/na vidonda vilivyotokana na kuchomeka (kujipaka kutibu vidonda)
(f) (i) Hamu na ghamu- kutarajia ukiwa na tama kubwa, shauku, uchu.
(ii) Akina yahe – Watu wa kawaida, watu wa tabaka la chini, maskini, fukara, wakati walahoi.
(iii) Sugu – ngumu (iv) Vipodozi – vitu au bidhaa za kurembesha k.m. mafuta na poda.
monica20 answered the question on October 12, 2017 at 15:24
-
Nomino zifuatazo ziko katika ngeli gani?
(i)Makamasi
(ii)Boga
(Solved)
Nomino zifuatazo ziko katika ngeli gani?
(i)Makamasi
(ii)Boga
Date posted:
October 12, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya parandesi kama alama za uakifishaji.
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya parandesi kama alama za uakifishaji.
Date posted:
October 11, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza thana ya nomino za pekee.
(Solved)
Eleza thana ya nomino za pekee.
Date posted:
October 11, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya kikomo huku ukitolea mifano mwafaka.
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya kikomo huku ukitolea mifano mwafaka.
Date posted:
October 11, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini umuhimu wa kusanifisha lugha ya Kiswahili?
(Solved)
Ni nini umuhimu wa kusanifisha lugha ya Kiswahili?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Usanifishaji wa lugha ni nini?
(Solved)
Usanifishaji wa lugha ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Ala tuli ni nini?
(Solved)
Ala tuli ni nini?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi hii kwa kutumia kiwakilisho amba (alama 2)
Ubao upakwao rangi hupendeza
(Solved)
Kanusha sentensi hii kwa kutumia kiwakilisho amba (alama 2)
Ubao upakwao rangi hupendeza
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
(Solved)
Unda nomino mbili kutokana na neno hudumu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
(Solved)
Bainisha matumizi ya ‘ni’ katika sentensi ifuatayo:
Twendeni tuone mhubiri ni nani?
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia neno ‘kinanda’ kisha ubainishe ngeli yake.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
(Solved)
Andika kwa wingi:
Ugomvi ulipozuka pale ulimi wake ulipatapata.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo:
Chakula ambacho kimepikwa sasa kisingalinunuliwa jana kisingaliiva mapema.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo (i) Angalau (ii) Aghalabu
(Solved)
Tunga sentensi moja moja inayodhihirisha matumizi ya maneno yafuatayo
i) Angalau
ii) Aghalabu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
(Solved)
Taja king’ong’o cha kaakaa gumu.
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mofimu
(Solved)
Eleza maana ya mofimu
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
(Solved)
Mtu aliyefiwa akiambiwa 'makiwa'anapaswa kujibu vipi iwapo mazishi ya marehemu yamekamilika
Date posted:
October 10, 2017
.
Answers (1)
-
Identify the method used in making sangoan tools.
(Solved)
Identify the method used in making sangoan tools.
Date posted:
October 9, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: ...
(Solved)
Tunga sentensi mojamoja kubainisha: i) kihusishi cha wakati
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)
-
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
(Solved)
Andika sauti mwambatano inayotarnkiwa kwenye ufizi
Date posted:
October 4, 2017
.
Answers (1)