Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Nini umuhimu wa ngano za mashujaa katika jamii?

Nini umuhimu wa ngano za mashujaa katika jamii?

Answers


KELVIN
a) Kuhimiza uzalendo na ujasiri miongoni mwa vijana.
b) Kuhimiza ujasiri miongoni mwa vijana.
c) Kusifu mashujaa katika jamii
d) Kuelimisha jamii kwa kuwapa maarifa ya kukabiliana na changamoto, inda na ila.
e) Kuhimiza uzalendo kwa kuhimiza watu kuiga mashujaa na kupigania jamii.
f) Kuonya dhidi ya matendo hasi k.v. ukatili.
g) Kuhimiza watu kutokata tamaa

kalvinspartan answered the question on October 20, 2017 at 15:39

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions