Njia zinazochangia maenezi ya Kiswahili.
-Dini
-Biashara
-Shule kinatahiniwa kiwango viwango vyote.
-Vyombo vya habari – magazeti /runinga /filamu.
-Ndoa baina ya watu wa jamii tofauti.
-Malezi ya kisasa.
-Lugha ya taifa /rasmi.
-Vitabu vya riwaya / ushairi /tamthilia vya waandishi mbalimbali.
-Tamasha za muziki na maigizo.
-Mijadala na hotuba mbalimbali redioni na katika mabaraza.
(zozote tano na maelezo sahihi (2x5=10)
john3 answered the question on November 20, 2017 at 18:17
-
Eleza matumizi ya vile katika sentensi hii. Vile vile seremala alitengeneza meza.
(Solved)
Eleza matumizi ya vile katika sentensi hii.
Vile vile seremala alitengeneza meza.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha virai nomino, virai vivumishi, na virai vielezi katika sentensi ifuatayo: Yule mwalimu mwenye ndevu amewasili ukumbini sasa hivi.
(Solved)
Bainisha virai nomino, virai vivumishi, na virai vielezi katika sentensi ifuatayo:
Yule mwalimu mwenye ndevu amewasili ukumbini sasa hivi.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Tofautisha maana ya sentensi zifuatazo: Chakula chote kitaharibika. Chakula chochote kitaharibika.
(Solved)
Tofautisha maana ya sentensi zifuatazo:
Chakula chote kitaharibika. Chakula chochote kitaharibika.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza sababu tano za kuchanganya na kubadili ndimi/msimbo.
(Solved)
Eleza sababu tano za kuchanganya na kubadili ndimi/msimbo.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano halisia eleza tofauti iliyopo kati ya kuchanganya ndimi/ msimbo na kubadili ndimi/msimbo.
(Solved)
Huku ukitoa mifano halisia eleza tofauti iliyopo kati ya kuchanganya ndimi/ msimbo na kubadili ndimi/msimbo.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja itakayodhihirisha maana mbili za neno ‘kijinga’
(Solved)
Tunga sentensi moja itakayodhihirisha maana mbili za neno ‘kijinga’
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha vitenzi katika sentensi hii. Juma ndiye aliyekuwa akiiba mifugo wa jirani.
(Solved)
Bainisha vitenzi katika sentensi hii.
Juma ndiye aliyekuwa akiiba mifugo wa jirani.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Bainisha viwakilishi katika sentensi hii. Aliwaletea kalamu tatu.
(Solved)
Bainisha viwakilishi katika sentensi hii.
Aliwaletea kalamu tatu.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili zinazopatikana katika sentensi hii. Huyu amekuja kutuliza.
(Solved)
Eleza maana mbili zinazopatikana katika sentensi hii.
Huyu amekuja kutuliza.
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kwa kutumia vivumishi vifuatavyo (i) Kivumishi cha kusisitiza
(Solved)
Tunga sentensi kwa kutumia vivumishi vifuatavyo.
(i) Kivumishi cha kusisitiza
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi katika sentensi hii. Mlipewa
(Solved)
Ainisha viambishi katika sentensi hii.
Mlipewa
Date posted:
November 20, 2017
.
Answers (1)
-
Huku ukizingatia riwaya ya kidagaa kimemwozea na ken walibora eleza umuhimu wa wahusika wafuatao Matuko Weye, Mtemi Nasaba Bora, Lowela
(Solved)
Huku ukizingatia riwaya ya kidagaa kimemwozea na ken walibora eleza umuhimu wa wahusika wafuatao Matuko Weye, Mtemi Nasaba Bora, Lowela
Date posted:
November 17, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza fani zifuatazo za maghani:
1.Vivigo
2.Tondozi
3.Pembezi
4.Rara
(Solved)
Eleza fani zifuatazo za maghani:
1.Vivigo
2.Tondozi
3.Pembezi
4.Rara
Date posted:
November 17, 2017
.
Answers (1)
-
Andika visawe vya aina za maneno yafuatayo :1. Nomino 2. Kitenzi 3. Kiwakilishi 4. Kielezi
(Solved)
Andika visawe vya aina za maneno yafuatayo :
1. Nomino
2. Kitenzi
3. Kiwakilishi
4. Kielezi
Date posted:
November 16, 2017
.
Answers (1)
-
Toa visawe vya aina hizi za maneno.1. Nomino. 2. Kitenzi. 3. kiwakilishi. 4. kielezi.
(Solved)
Toa visawe vya aina hizi za maneno.
1. Nomino.
2. Kitenzi.
3. kiwakilishi.
4. kielezi.
Date posted:
November 16, 2017
.
Answers (1)
-
Toa aina tatu za vitanza ndimi
(Solved)
Toa aina tatu za vitanza ndimi
Date posted:
November 13, 2017
.
Answers (1)
-
Usanifishaji wa lugha ni nini?
(Solved)
Usanifishaji wa lugha ni nini?
Date posted:
November 13, 2017
.
Answers (1)
-
Jadili mikondo hewa yoyote mitatu inayotumika katika utamkaji wa sauti za binadamu
(Solved)
Jadili mikondo hewa yoyote mitatu inayotumika katika utamkaji wa sauti za binadamu
Date posted:
November 13, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya Tenzi kisha utoe umuhimu wake
(Solved)
Eleza maana ya Tenzi kisha utoe umuhimu wake
Date posted:
November 9, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya miviga
(Solved)
Eleza maana ya miviga
Date posted:
November 3, 2017
.
Answers (1)