Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

ISIMUJAMII .Taja na ueleze njia tano zinazochangia maenezi ya lugha ya Kiswahili nchini.

      

ISIMUJAMII
Taja na ueleze njia tano zinazochangia maenezi ya lugha ya Kiswahili nchini.

  

Answers


john
Njia zinazochangia maenezi ya Kiswahili.
-Dini
-Biashara
-Shule kinatahiniwa kiwango viwango vyote.
-Vyombo vya habari – magazeti /runinga /filamu.
-Ndoa baina ya watu wa jamii tofauti.
-Malezi ya kisasa.
-Lugha ya taifa /rasmi.
-Vitabu vya riwaya / ushairi /tamthilia vya waandishi mbalimbali.
-Tamasha za muziki na maigizo.
-Mijadala na hotuba mbalimbali redioni na katika mabaraza.
(zozote tano na maelezo sahihi (2x5=10)
john3 answered the question on November 20, 2017 at 18:17


Next: Eleza matumizi ya vile katika sentensi hii. Vile vile seremala alitengeneza meza.
Previous: State any two uses of hydrogen gas in the fertilizer industry

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions