Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza kaida zozote tano zinazoathiri matumizi ya lugha

      

Eleza kaidi zozote tano zinazoathiri matumizi ya lugha

  

Answers


Bonface
Umri-Wazee hutumia lugha fiche na yenye busara ilhali vijana hutumia lugha yenye matusi

Jinsia-Wasichana hutumia lugha yenye upole ilhali wavulana hutumia lugha ya ukali.

Tabaka-Marajiri hutumia lugha tofauti na watu wenye pato la chini

Cheo-Watu wenye vyeo mbalimbali hutumia lugha ya uongozi tofauti na wale wanaoongozwa

Muktadha-Lugha inayitumiwa hospitalini ni tofauti na ile lugha ya shuleni.

Malezo-Mtoto ambaye amelelewa kwa lugha ya matisi akiwa mkubwa hutumia lugha yenye matusi

Lengo ya lugha-Lugha ya kutoa tahadhari ni tofauti na ile ya kuburudisha.


Biokenya answered the question on December 7, 2017 at 15:33


Next: Tofautisha kati ya irabu /e/ na /u/
Previous: Tumia O-rejeshi kuleta hali ya mazoea: Mwanafunzi ambaye alitia bidii masomoni ndiye ambaye alizawadiwa

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions