Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.

Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika diwani ya, ‘Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine.’ Jadili maudhui ya nafasi ya wazazi katika malezi.

Answers


Kavungya
Tulipokutana Tena
• wazazi wa Bogoa - ni walezi wema ingawa ni maskini hawataki. Bogoa alelewe na wazazi wengine

o Mapenzi kifaurongo
• wazazi wa Penina Bw & Bi Kitane) wamewajibika katika kumlea Penina. Wanampa fedha za kutosha kila wiki
• licha ya kuwa maskini wazazi wa Dennis wanajizatiti sana kumpeleka chuoni hadi chuo kikuu

o Shoga yake Dada ana ndevu
• wazazi wake Safia na Lulua wanawapenda sana wanao
• wanawapeleka wanao shuleni na kuwapa safia nafasi ya kusoma pale nyumbani
• wazazi hawa pia wana mapuuza. Wanamwamini mwanao kupita kiasi

o Mama Bakari
• babake Sara ni mkali sana, Sara anapobakwa anaogopa kumwambia kuwa ana ujauzito
• baadaye anabadilika wa kuwa mpole, anamfariji
• mamake Sara ni dhaifu, hawezi kumsaidia Sara

o Ndoto ya Mashaka
• wazazi wa Samueli wanajinyima ili kuwasomesha watoto wao
• Babake Samueli aliuza ng’ombe wengi ili kumsomesha Samueli
• mamake Samueli anatumiwa kuonyesha mapenzi ya mzazi ni ya kudumu
• babake Samueli anatumiwa kuonyesha kukata tamaa / kutamauka
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 06:37

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions