Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Huyo Meya wetu ana washauri ambao huwasikiliza zaidi hata kama wanampotosha.Fafanua ukirejelea tamthilia "Mstahiki Meya".

Huyo Meya wetu ana washauri ambao huwasikiliza zaidi hata kama wanampotosha.Fafanua ukirejelea tamthilia "Mstahiki Meya".

Answers


sharon
i) Bili anamshauri Meya
ii) Bili anakubaliana na Meya anaposema ameagiza divai Ufaransa na mvinyo kutoka Urusi
iii) Bili na Meya wanakutana kajifahari wanapoponda mali bila kujuli
iv) Bili anakubaliana na Meya wasomeshe watoto wao ng‘ambo kwa vile masomo cheneo ni vivi hivi
v) Bili anaposikia Meya amempeleke mkewe kujifungulia ng‘ambo hata yeye anaona atamtuma mke wake huko wakati wake ukitimia
vi) Bili anakosa kumshauri Meya anapomgawia vipande vine vya ardhi (prime plot)
vii) Bili anamwonyesha Meya mbinu za kuufisidi mji kwa kukatiza mkataba wa mwanakandarasi ili anapolipwa fidia amgawie fungu lake.
viii) Diwani I na II wanalitetea Barasa la Meya hata wanachaguliwa kuwa ndio macho, masikio na sauti yake wanalipwa kwa sababu hii.
ix) Diwani I na II wanamshauri Meya amchukulie hatua Diwani III kwa kuwa ni mchochea
x) Bw. Usalama anasema yu tayari kuwaamrisha vijana (Askari) wa usalama wawapige waandamanaji badala ya kuwasikiliza
xi) Bw. Uhusiano mwema anahakikisha tamasha za vijana zimeandaliwa ili kudumisha uzalendo.
xii) Mhubiri (mshauri wa kiroho) hamwelekezi Meya kwa njia inayofaa mabali anauombea uongozi wake dhalimu ili apate sadaka
xiii) Bili anamshauri Meya waibe fimbo ya Meya ili wapate pesa.
sharon kalunda answered the question on October 1, 2019 at 08:24

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions