Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

"Sisi kama wazazi...........hukabiliana na mengi...........mara nyingi tabia zao hutupiga chenga........"

      

"Damu nyeusi na hadithi zingine"
"Sisi kama wazazi...........hukabiliana na mengi...........mara nyingi tabia zao hutupiga chenga........"
a) Weka dondoo hili katika muktadha wake
b) Dhihirisha mbinu NNE za lugha zinazojitokeza katika dondoo hili
c) Jadili yaliyomsibu mrejelewa.

  

Answers


sharon
a) Msemaji Bi Margaret
Wasemewa Wazazi wa Sela (Mzee Butali na Mama Sela)
Mahali Ofisini kwa Bi. Margaret
Kiini Bi. Margaret alikuwa amewaita wazazi wa Sela ili kuwajuza kuhusu hali yake ya uja uzito
b) Tashbihi Sisi kama wazazi
Tashihisi- Tabia hutupiga chenga.
Nahau- hutupiga chenga.
Mdokezo – chenga…….
c)
- Alikpachikwa mimba na Masazu.
- Alifukuzwa shule
- Aliaibika gwarideni na wenzake.
- Anakabiliwa na ulezi akiwa bado mdogo.
- Anamlea mtoto katika mazingira ya umaskini.
- Alifukuzwa nyumbani.
- Kuacha masomo kwa muda wa miezi tatu ili akitunze kitoto chake.
- Aliwakosa rafiki zake aliokuwa amezoeana nao.
- Alisombwa na maji usiku.
sharon kalunda answered the question on October 1, 2019 at 09:48


Next: Identify the vices that Jesus would condemn in the Church today.
Previous: Study the figure below and use it to answer the following questions.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions