Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Matambiko ni nini? Eleza dhima zake mbili.

      

Matambiko ni nini? Eleza dhima zake mbili.

  

Answers


sharon
-Ni sadaka inayotolewa kwa Mungu, miungu au mizimu moja kwa moja kupitia kwa miungu.
- Wazee pia walifanya matambiko.

dhima
i) Hutumika kwa kuwaonya wanajamii dhidi ya vitendo viovu
ii) Kuadilisha jamii kutenda mema wakicha laana
iii) Uleta umoja katika jamii. Kaida na miiko hufanya watu kuishi kama kitu kimoja
iv) Kitambulisho cha jamii. Kila jamii ina namna ya kutoa maagizo.
sharon kalunda answered the question on October 1, 2019 at 09:15


Next: Define: i) Atom. ii) Compound. iii) Element
Previous: Complete the following.

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions