(a) Ili asiwe na wasiwasi ya kutukanwa na huhiniwa aepuke kufanyiwa mabaya.
(b) (i) Pindu/mkufu/nyoka
Kwa sababu neno la mwisho katika mshororo wa mwisho wa ubeti linatumiwa kuanzia ubeti
unaofuata.
(ii) Ukaraguni
Vina vya kati na vya mwisho vinatofautiana kutoka ubeti mmoja hadi mwingine.
(c) (i) Tashbihi
- Hafifu kama muwele
- Tele mithili kitoto
(ii) Uradidi/Takriri
- Subira’
- Bora, kombora, ukora
- Kiburi, kudhuri n.k
(d) (i) Misuli kuwa dhaifu sana kama ya mgonjwa.
(ii) Hasa mgonjwa mwenye tatizo la
(iii) Ambao unasumbua sana daima na
(iv) usiopona kwa vishale.
(e) (i) Inkisari - kuleta urari wa mizani k.m kilo — kilicho.
(ii) Tabdila - kuleta urari wa vina k.m. kudhuri — kudhuru maole — maozi.
- Kuleta urari wa mizani k.m nduwele — ndwele
muwili — mwili
(iii) Mazida - kuleta urari wa vina pia mizani.
- Vinitomele - vinitome.
Kavungya answered the question on October 4, 2019 at 13:25
-
Tumia amba – rejeshi na nomino ulizopewa katika sentensi kuonyesha upatanisho wa kisarufi.
i) ukwenzi
ii) sandukuni.
(Solved)
Tumia amba – rejeshi na nomino ulizopewa katika sentensi kuonyesha upatanisho wa kisarufi.
i) ukwenzi
ii) sandukuni.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha mofimu katika neno hili;
Alinizindusha
(Solved)
Bainisha mofimu katika neno hili;
Alinizindusha
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Taja ngeli za nomino zifuatazo;
i) Muundo
ii) Senti.
(Solved)
Taja ngeli za nomino zifuatazo;
i) Muundo
ii) Senti.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia neno kitoto kama;
i) kivumishi
ii) kielezi
(Solved)
Tumia neno kitoto kama;
i) kivumishi
ii) kielezi
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze pingamizi zozote tano zinazokwamiza juhudi za kukuza Kiswahili
(Solved)
Taja na ueleze pingamizi zozote tano zinazokwamiza juhudi za kukuza Kiswahili
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi hii kwa kutumia kielelezo cha visanduku.
Mzee aliyemdhulumu msichana yule ametiwa mbaroni tena.
(Solved)
Changanua sentensi hii kwa kutumia kielelezo cha visanduku.
Mzee aliyemdhulumu msichana yule ametiwa mbaroni tena.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza juhudi zozote tano za serikali ya Kenya katika kukuza Kiswahili
(Solved)
Eleza juhudi zozote tano za serikali ya Kenya katika kukuza Kiswahili
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia kitenzi — nywa katika kauli ya kutendesha
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia kitenzi — nywa katika kauli ya kutendesha
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha sentensi hii
Mpishi asipokuwa mwangalifu chakula hakitaiva vizuri
(Solved)
Yakinisha sentensi hii
Mpishi asipokuwa mwangalifu chakula hakitaiva vizuri
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Uchumi wa soko huria ni hali ya kiuchumi ambapo itokeapo amali, shughuli na harakati zote za kiuchumi ghairi ya zile...
(Solved)
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Uchumi wa soko huria ni hali ya kiuchumi ambapo itokeapo amali, shughuli na harakati zote za kiuchumi ghairi ya zile ambazo ni za lazima kwa serikali au dola kama ulinzi, sheria na
mpangilio wa jamii huwa huria kwa watu binafsi. Msingi wa soko huria, sifa kuu ya utandawazi, ni kuibua na kudumisha mazingira na hali zinazochochea na kumruhusu mtu yeyote kuongozwa na hawaa, au matamanio ya kibiashara anayoyaona sawa pasi na hofu ya kuingilia na udhibiti wa serikali.
Mazingira hayo yanawapa watu satua ya kufanya maamuzi kuhusu hatima yao ya kiuchumi, uamuzi kuhusu suala la ajira yao, matumizi ya mtaji kipato na harija zake, na uwekezaji mzima. Suala mojawapo linaloibuka kuhusiana na mfano wa soko huria ni kuweka mipaka bainifu na wazi baina ya amali na shughuli zinazohusishwa na serikali na zile ambazo huachwa huria kwa watu. Kwa mfano, inaaminiwa kuwa haki ya kuishi na kulindwa dhidi ya shambulizi, liwe la kijambazi au la kigaidi, ni ya kimsingi ambayo haiwezi kuhusishwa na uwezo wa kiuchumi wa mtu binafsi. Aidha huduma za kimsingi za afya nazo zinaingia katika kumbo hili. Ikiwa huduma hizi zitaachwa huria pana uwezekano mkubwa kuwa zitaishia kuwa istihaki ya wenye mtaji na kipato cha juu tu.
Licha ya kuwepo kwa sheria au kanuni huria kutoka nyanja maalum, hutokea hali ambapo adhibiti wa kiserikali ni lazima. Hii hutokea pale ambapo ipo haja ya kuyalinda mazingira hasa kutokana na uchafuzi wa viwanda au tasnia. Aidha udhibiti huo ni lazima pale ambapo haki za watu wengine zinahusika: yaani ikiwa uhuru wa hata mtu mmoja unaadhirika kutokana na sera hizo pana haja ya kuingilia ili kuisawazisha hali yenyewe.
(a) Andika kwa muhtasari maana ya uchumi wa soko huria kulingana na taarifa hii.
(maneno 25-30)
(b) Eleza mawazo makuu yanayojitokeza katika aya ya pili na ya tatu.
(maneno 70-75)
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Toa maana ya semi Shupaa mwili.
(Solved)
Toa maana ya semi Shupaa mwili.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Taja dhamira ya sentensi ifuatayo
Kimbia mbio ulete sahani
(Solved)
Taja dhamira ya sentensi ifuatayo
Kimbia mbio ulete sahani
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi ifuatayo iii ilete dhana tatu tofauti;
Fatuma Khamisi mjukuu wa Rashid na Rehema wametoroka shule
(Solved)
Akifisha sentensi ifuatayo iii ilete dhana tatu tofauti;
Fatuma Khamisi mjukuu wa Rashid na Rehema wametoroka shule
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi yenye muundo ufuatao
KN(N+S)+KT(T+E+E)
(Solved)
Tunga sentensi yenye muundo ufuatao
KN(N+S)+KT(T+E+E)
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Iandike sentensi ifuatayo upya katika hali yakinishi.
Hapo napo sipo nitakapo.
(Solved)
Iandike sentensi ifuatayo upya katika hali yakinishi.
Hapo napo sipo nitakapo.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia maneno yafuatayo katika sentensi moja ili kubainisha tofauti zao kimaana;
i) Chuuza
ii) Chuza
(Solved)
Tumia maneno yafuatayo katika sentensi moja ili kubainisha tofauti zao kimaana;
i) Chuuza
ii) Chuza
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya ama za vielezi vifuatavyo;
i) Vielezi vya namna mfanano na;
Vielezi vya namna hali.
ii) Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia vielezi vya hapo...
(Solved)
Eleza tofauti kati ya ama za vielezi vifuatavyo;
i) Vielezi vya namna mfanano na;
Vielezi vya namna hali.
ii) Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia vielezi vya hapo juu.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi moja ukitumia kivumishi cha nomino.
(Solved)
Andika sentensi moja ukitumia kivumishi cha nomino.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili sababu tano zinazofanya "sheng" isiwe lugha ya taifa.
(Solved)
Jadili sababu tano zinazofanya "sheng" isiwe lugha ya taifa.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya;
i).Mkembe.
ii).mkebe.
(Solved)
Eleza maana ya;
i).Mkembe.
ii).mkebe.
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)