1. Misafara ya watu waliokuwa wakishiriki katika biashara ya Pwani na sehemu za bara.
2. Maingiliano ya watu waliokuwa wakifanya biashara ya utumwa, pembe za ndovu n.k.
3. Sababu za kisiasa ambapo wakoloni walitaka kutumia Kiswahili ili kuendeleza utawala wao.
4. Juhudi za kutoka kusambaza dini ya Kiislamu na kikristo miongoni mwa mwenyeji.
5. Matumizi ya vyombo vya habari kama magazeti, redio n.k
Wilfykil answered the question on October 5, 2019 at 07:57
-
Unganisha sentensi hizi ukitumia kiunganishi cha kinyume:
(Solved)
Unganisha sentensi hizi ukitumia kiunganishi cha kinyume:
Wananchi walikabiliwa na hatari
Wananchi waliendelea kuwaokoa majeruhi
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino moja moja kwa kila kitenzi
Shuku
Vumilia
shona
lia
(Solved)
Unda nomino moja moja kwa kila kitenzi
Shuku
Vumilia
shona
lia
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kuonyesha tofauti ya maana kati ya ‘guna’ na ‘kuna’
(Solved)
Tunga sentensi moja kuonyesha tofauti ya maana kati ya ‘guna’ na ‘kuna’
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale/mistari:-
Watoto wote wameamka mapema na wazazi wanatayarisha staftahi
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale/mistari:-
Watoto wote wameamka mapema na wazazi wanatayarisha staftahi
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi yenye kiigizi na kihusishi cha mahali
(Solved)
Tunga sentensi yenye kiigizi na kihusishi cha mahali
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:-
Maksuudi alimjengea Tamima Kasri kwa matofali mazuri
(Solved)
Bainisha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:-
Maksuudi alimjengea Tamima Kasri kwa matofali mazuri
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja ukitumia kinyume cha neno ‘lewa’.
(Solved)
Tunga sentensi moja ukitumia kinyume cha neno ‘lewa’.
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ‘ji’ katika sentensi hii:
Mwimbaji amejikata jidole lake kwa jiwe
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ji’ katika sentensi hii:
Mwimbaji amejikata jidole lake kwa jiwe
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kitenzi ‘pwa’ katika kauli ya kutendea
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kitenzi ‘pwa’ katika kauli ya kutendea
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa ukubwa wingi:
Mke wa mzee huyu hupenda mtoto huyu sana.
(Solved)
Andika kwa ukubwa wingi:
Mke wa mzee huyu hupenda mtoto huyu sana.
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha sentensi ifuatayo:-
Chakula hakipikiki vizuri
(Solved)
Yakinisha sentensi ifuatayo:-
Chakula hakipikiki vizuri
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya mazoea:
(Solved)
Andika katika hali ya mazoea:
Mtambo ambao unakarabatiwa leo utatufaa
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kubainisha kiwakilishi kiambata nafsi ya kwanza wingi
(Solved)
Tunga sentensi moja kubainisha kiwakilishi kiambata nafsi ya kwanza wingi
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi:-
(i) Minghairi ya
(ii) Wala
(Solved)
Tumia viunganishi vifuatavyo katika sentensi:-
(i) Minghairi ya
(ii) Wala
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha viwakilishi katika sentensi zifuatazo kisha ueleze ni vya aina gani:-
i) Unamjua vyema kweli?
(ii) Hicho wanachokitaka hakipo
(Solved)
Onyesha viwakilishi katika sentensi zifuatazo kisha ueleze ni vya aina gani:-
i) Unamjua vyema kweli?
(ii) Hicho wanachokitaka hakipo
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Pambanua viambishi mbalimbali katika sentensi ifuatayo
Waliwapendezea
(Solved)
Pambanua viambishi mbalimbali katika sentensi ifuatayo
Waliwapendezea
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tungia vitenzi vifuatavyo sentensi katika hali zilizobanwa:-
(i) Fa(mazoea)
(ii) La(kutendeka)
(iii) Pa (kutendea)
(Solved)
Tungia vitenzi vifuatavyo sentensi katika hali zilizobanwa:-
(i) Fa(mazoea)
(ii) La(kutendeka)
(iii) Pa (kutendea)
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua kwa njia ya mishale
Mama anapika na baba akisoma gazeti
(Solved)
Changanua kwa njia ya mishale
Mama anapika na baba akisoma gazeti
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi ifuatayo:-
Sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi, utaniazima siku ngapi bashiri
alimwuliza rita
(Solved)
Akifisha sentensi ifuatayo:-
Sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi, utaniazima siku ngapi bashiri
alimwuliza rita
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi halisi:-
Mama aliwahimiza warudi siku hiyo la sivyo wangekosa tuzo
(Solved)
Andika katika usemi halisi:-
Mama aliwahimiza warudi siku hiyo la sivyo wangekosa tuzo
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)