Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Toa sababu nne zinazosababisha watu kufanya makosa katika matumizi ya lugha.

      

Toa sababu nne zinazosababisha watu kufanya makosa katika matumizi ya lugha.

  

Answers


Maurice
(i) Athari ya lugha ya kwanza.

(ii) Kutofahamu kanuni za kisarufi.

(iii) Kutoelewa kaida za matumizi ya lugha.

(iv) Uhamishaji wa kanuni za lugha moja hadi nyingine.

(vi) Ujuzi wa lugha nyingi za mzungumaji.

(vii) Kutafsiri lugha ya mama katika Kiswahili.

(viii) Upungufu wa viungo vya kutamkia kama vile meno.

(ix) Ukosefu wa baadhi ya sauti za Kiswahili katika lugha asili ya mzungumaji.

(x) Kutoimudu lugha vilivyo

(xi) Kurithishwa lugha isiyo sanifu na matamshi mabaya na walimu au wazazi.
maurice.mutuku answered the question on November 20, 2019 at 11:25


Next: Fafanua mambo manne yaliyochochea usanifishaji wa Kiswahili wakati wa ukoloni nchini.
Previous: In a second year class of a certain college, 2/3 are boys and the rest are girls. 4/5 of the boys and 9/10 of the...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions