Trusted by millions of Kenyans
Chat on WhatsApp

Sifa Za Nyimbo Za Bembelezi

39727 Views
6 Purchases

Summary

SIFA ZA NYIMBO ZA BEMBELEZI

Bembelezi kama nyimbo za kuimbia Watoto ndio watulie, waache kulia nawalale (Bakiza 2010). Huwa na baadhi ya sifa mbali mbali. Haji na wenzake (1992) wamefasili nyimbo za kuchombezea watoto kuwa ni nyimbo ambazo huimbiwa mtoto mchanga kwa ajili ya kumburudisha. Bali ni hayo Wamitila (2003) anasema bembelezi hukusudiwa kumlaza mtoto au kumuongoa aache kulia, huweza pia kutumiwa kupitisha ujumbe fulani. Wamitila anaendelea kusema kuwa bembelezi huweza kutumiwa kama njia ya kumpiga vijembe mzazi wake ikiwa anaehusika ni mlezi. Sifa hizi ni kama vile:
Huimbwa kwa maadhi ya chini na sauti nyororo.
Katika uimbaji wa nyimbo za bembelezi ni muhimu tufahamu kuwa mahadhi na mapigo yanafaa kushuka na kwa utaratibu . Akivaga na Odaga (1992) wanadai kuwa nyimbo bembelezi huimbwa kwa utaratibu na kwa sauti nyororo, uamilifu wa bembelezi, wanavyodai ni kudokeza au kubainisha jambo fulani kuhusu jamii husika. Sauti nyororo huchukua umakinifu wa mtoto katika hali yake ya kusikiza huwa pia anaburudika.Pia, sauti ya chini husababisha mazingira ya mtoto kuingia kwa ulimwengu wa usingizi.Nyimbo hizi huwa nzuri kwa jumla na Watoto wanaolia hujipata wametulia na wakati mwingine wao hulala.
.................

Below is the document preview. Purchase to access the complete document.

  • Page 1 – Sifa Za Nyimbo Za Bembelezi – Kenyaplex
  • Page 2 – Sifa Za Nyimbo Za Bembelezi – Kenyaplex
........

This is the end of this document preview. Buy to download the complete document.

Recommended Resources

More Resources



View all resources  

What Our Users Say