Tume Mbalimbali Zilizojadili Hali Ya Lugha Nchini Kenya

Institution: University

Course: Diploma in Education

Content Category: Articles

Posted By: Sammy Njosh

Document Type: PDF

Number of Pages: 3

Price: KES 100
Buy with Email    Buy via WhatsApp
    

Views: 1088     Downloads: 3

Summary

Nafasi ya Kiswahili katika mfumo wa elimu kabla na baada ya uhuru ilikuwa ikitegemea tume, hasa baada ya kuundwa kwa tume zinazotoa mapendekezo kuhusu mwelekeo wa elimu nchini. Kati ya tume nyingi zilizoundwa, zikiwemo Ominde (1964), Wamalwa (1972), Gachathi (1976) na Kamunge (1998). Tume ya Mackay (1981) na tume ya koech (1999) zitabaki katika kumbukumbu za kihistoria kama tume zilizoendeleza sana kiswahili nchini kenya kwa kupendekeza liwe somo la lazima katika shule za msingi na sekondari a) Tume ya ominde 1964 Mnamo mwaka wa 1964 serikali iliteua tume ya elimu ya Kenya iliyoongozwa na prof. Ominde.Tume ambayo ilipendekeza mfumo wa elimu wa 7-4-2-33. Tume hii pia ilipendekeza matumizi ya kiingereza katika kufundishia tangu shule za msingi.
..................


Below is the document preview. Purchase to access the complete document.

  • Tume-Mbalimbali-Zilizojadili-Hali-Ya-Lugha-Nchini-Kenya_14590_0.jpg
........

This is the end of this document preview. Buy to download the complete document.


More Resources



View all resources