Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Kwa kutoa mifano, eleza aina mbili za sentensi za kiswahili

Huku ukitoa mifano,eleza aina mbili za sentensi za kiswahili

Answers


Bonface
i)Sentensi sahili-ni sentensi yenye dhana moja kuu. Kwa mfano;Mtoto analia
ii)Sentensi ambatano; ni sentensi inayoundwa kwa sentensi sahili mbili zilizounganishwa kwa kiunganishi. Kwa mfano;Mama anapika ilhali watotao wanacheza
iii)sentensi changamano-ni sentensi yenye kishazi tegemezi na kishazi huru. Kwa mfano;Ng'ombe aliyenunuliwa jana ameuzwa leo.
Biokenya answered the question on December 7, 2017 at 18:13

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions