Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Kwa kutoa mifano, eleza aina mbili za sentensi za kiswahili

      

Huku ukitoa mifano,eleza aina mbili za sentensi za kiswahili

  

Answers


Bonface
i)Sentensi sahili-ni sentensi yenye dhana moja kuu. Kwa mfano;Mtoto analia
ii)Sentensi ambatano; ni sentensi inayoundwa kwa sentensi sahili mbili zilizounganishwa kwa kiunganishi. Kwa mfano;Mama anapika ilhali watotao wanacheza
iii)sentensi changamano-ni sentensi yenye kishazi tegemezi na kishazi huru. Kwa mfano;Ng'ombe aliyenunuliwa jana ameuzwa leo.
Biokenya answered the question on December 7, 2017 at 18:13


Next: Eleza muundo wa majina katika ngeli ya U-ZI
Previous: Tumia kiimbo kuleta maana tatu katika sentensi ifuatayo. Mama amekufa

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions