Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

"..Bei ni ya leo....bei ni ya leo,,,mbao mbao,mbao mbao.." (i)Taja sajili ya maneno haya (ii)Taja sifa za ligha za sajili uliotaja

"...Bei ni ya leo...bei ni ya leo...mbao mbao, mbao mbao.."
i)Taja sajili ya maneno haya
ii)Taja sifa za ligha za sajili uliotaja

Answers


Bonface
i)Sajili ya sokoni (Biashara)
ii)Matumizi ya msamiati maalum kwa mfano bei nafuu.
Matumizi ya lugha ya kuvutia
Lugha ya kutia chumvi kwa mfano
Matumizi ya lugha unaorudiwarudiwa.

Biokenya answered the question on December 8, 2017 at 15:54

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions