Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?

      

Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?

  

Answers


Mwaniki
Kijalizo ni neno au maneno ambayo hutokea baada ya kitenzi kishirikishi(kipungufu/kikamilifu) ili Kukisaidi kuibua maana katika sentensi. Km. Mama yu shambani.
Shambani ni kijalizo.
Msichana ni mrembo.
Mrembo ni kijalizo.
Kaka ni shupavu sana.
Shupavu sana ndio kijalizo.
Tanbihi:kijalizo chaweza kuwa kivumishi au hata kielezi.
Mwageki answered the question on August 3, 2018 at 06:11


Next: Outline six measures that an office manager may take to ensure employees cooperation when carrying out an organization method
Previous: Give two ways through which early agriculture spread in Africa

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions