Watu wengi wamezoea kusema, “ajali bwana!” Basi yakaisha hapo. Lakini
kufanya hivyo ni sawa?
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 11:45
-
Tambulisha viwakilishi katika sentensi zifuatazo, halafu uzigeuze sentensi
hizo kwa wingi.
(i) Nilisoma kitabu chake
(ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia
(iii) Alishinda nishani ya dhahabu
(Solved)
Tambulisha viwakilishi katika sentensi zifuatazo, halafu uzigeuze sentensi
hizo kwa wingi.
(i) Nilisoma kitabu chake
(ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia
(iii) Alishinda nishani ya dhahabu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya KI na utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya KI na utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Samaki anayejirusha kutoka majini huitwa?
(Solved)
Samaki anayejirusha kutoka majini huitwa?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Anayefundisha mwari mambo ya nyumbani huitwa?
(Solved)
Anayefundisha mwari mambo ya nyumbani huitwa?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala
(Solved)
Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
(Solved)
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha matumizi ya kila moja
(Solved)
Kwa kurejea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha matumizi ya kila moja
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
(Solved)
Andika sentensi zifuatazo katika hali ya kutendewa
i) Yule Ngo’mbe alizaa ndama mkubwa jana
ii) Mavu hawa wamemsumbua Nyatogo kwa mda mrefu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunaweza kusema katika chumba au
i) …………………………………………………..ama
ii) ……………………………………………………..
(Solved)
Tunaweza kusema katika chumba au
i) …………………………………………………..ama
ii) ……………………………………………………..
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
(Solved)
Sahihisha sentensi zifuatazo bila kugeuza maana
i) Kikombe chenye kimevunjika ni kipya
ii) Nimepeana kitabu kwa mwalimu mkuu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukidhihirisha wingi wa majina yafuatayo:
i) Ukanda
i) Uzee
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
(Solved)
Andika ukubwa wa
Mwizi aliiba kikapu na ngo’mbe
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
(Solved)
Andika umoja wa sentensi hizi:
(i) Kwato za wanyama hutufaidi
(ii) Mnataka vyeti vya kuwasaidia?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutumia kirejeshi kifaacho, rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia
mbili tofauti.
Yule ndiye mkwasi ambaye aliyenusurika.
(Solved)
Kwa kutumia kirejeshi kifaacho, rekebisha sentensi ifuatayo kwa njia
mbili tofauti.
Yule ndiye mkwasi ambaye aliyenusurika.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Soma makala afuatayo kisha ujibu maswali yanafuata.
Katika falme ya Pate ya enzi za kale, kulikuwa n binti Sultani aliyeitwa Mwanakishwira.
Alipopata umri wa miaka kumi na...
(Solved)
Soma makala afuatayo kisha ujibu maswali yanafuata.
Katika falme ya Pate ya enzi za kale, kulikuwa n binti Sultani aliyeitwa Mwanakishwira.
Alipopata umri wa miaka kumi na mine tu, Mwanakishwira alikuwa tayari ni mrefu na
mkubwa, na alionekana kuwa msichana mzima mwenye umri wa miaka kumi na minane.
Alikuwa nadhifu na mzuri sana wa sura, kiasi cha kubandikwa lakabu ya malaika.
Lipendeza sana macho fauka ya kuwa alikuwa na akili nyingi mno. Katika umri huo,
alikuwa amemaliza masomo yake yote katika madrassa iliyokuwa hapo, na aliweza
kuikariri. Kurhani yote bila kigezigezi. Babake, Mfalme, aliuma videole akilia ngoa kuwa
motto mwenye akili hiyo ni mke wala sio mume. Aliwaza ya kuwa kama angekuwa
mvulana, angempeleleka zutafindaki ya Al-Azhar huko Misri kuendelea na masomo ya
juu katika chuo hicho kisifika.
Wakati mfalme akiuma vidole kuhusu junsia ya motto wake, wanaume wengi hapo mjini
walikuwa wakimeza mate. Mtu aliyememezewa mate alikuwa ni yeye huyo
Mwanakishwira. Walimmezea mate kwa sababu kila mmoja wao alitaka kumwoa awe
mkewe. Kumwoa Mwanakishwira kulikuwa na manufaa ya kupata mke mwenye uzuri
wa shani, kama nyota, na aidha kuwa Mfalme baada ya mwenye kukikalia kuaga dunia,
sababu yeye hakuwa na mrithi mwingine.
Basi ikawa ni kila mtu kujipendekeza kwa mfalme…Kila mtu bila kujali nasaba.
Walijipendekeza wakwasi na mwakata pia. Mwisho Mfalme, Kwa vile alikuwa
anasumbuliwa sana, na wakati huohuo aliogopa kuwa asipomwoza mapema binti yake
huenda akaharibika, akaamua kuruhusu wachumba wamchumbie.
Uamuzi huu ulimshtua sana Mwanakishwira, Mshutuko aliopata ulimtia ugonjwa na
kumdoofisha kabisa. Akadhoofu hadi Mfalme akaingiwa na hofu ya kuwa motto wake
atakufa. Akaamua kumwuliza kinachomdhoofisha. Mwanakishwira. Mwanakishwira
akasema kimdhoofishacho ni mwezi. Akipata mwezi, na nafuu pia ataipata.
Kusikia hivyo, Mfalme akatokwa na kijasho chembachemba. Akafikiria kwamba labda
motto wake amemalizwa kabisa na uwele, na sasa yaweweseka tu, wala hana akili razini
ya kutambua na kupanga mambo.
Hata hivyo hakuvunkika moyo kabisa. Akaamua kupata tafsiri ya kitendawili hicho
kutoka kwa waheshimiwa wake hapo mjini. Ambao wote walitaka mumwoa
Mwanakishwira.
Kwanza akamwendea Waziri Mkuu akamwulia tafsiri ya mwezi autakao binti yake.
Waziri akasema mwezi utakikanao ni wa dhahabu. Alipoambiwa hivyo motto akzidi
kudhoofu. Mfalme akakasirika sana. Akawaendea wakwasi wengine kama vile Kadhi, Mnajimu na Kadhalika. Hawa wote wakamzidisha ugonjwa binti Mfalme kwa sababu
jawabu walizotoa ni kuwa mgonjwa alihitaji mwezi wa almasi, fedha na hata hatua!
Mwisho kabisa, Mfalme akamwendea Mvulana aliyeckuwa mchungaji. Huyu
akamwaidhi Mfalme kwamba aulize mgonjwa aseme mwenyewe aina ya mwezi
aitakayo. Jawabu hili halikumfurahisha Mfalme, japo alienda kamwuliza binti yake,
kama alivyoambiwa. Alipoulizwa Mwanakishwira akasema mwezi autakao ni kishaufu
kilicho na umbo la mwezi mchanga kilichotengenezwa na chuma. Mfalme alishangaa
sana, Hata hivyo akamfulia kisaufu alichokitaka mgonjwa. Alipokivaa, Mwanakishwira
akapata nafuu mara moja na akaendelea na nafuu hiyo hadi akapona kabisa.
Kuona hivyo, Mfalme akawateremsha vyeo wakwasi wote humo mjini, na kuteua
wengine mahali pao. Kwa upande mwingine, mchungaji akaozwa binti Mfalme na
kupewa madaraka ya Waziri Mkuu. Hatimaye, Mfalme alipoaga dunia, mchungaji akawa
Mfalme na Mwanakishwira akawa Malkia.
a) Zungumzia swala la meuke (yaani mahali pa mwanamke au mwanamume katika
jamii) katika falme ya pate ya enzi hiyo.
b) i) Kwa nini Mfale iliwauliza wakwsi kwanza tafsiri ya kitendawili
ii) Kwa nini mfalme alishangazwa na jawabu la binti yake?
c) “Akili ni nywele, kila mtu ana zake” Dhihirisha jinsi methali hii inavyobainika
katika hadithi hii
d) Ni nini maoni yako kuhusu mwanamume aliyemwoa Mwanakishwira na kwa nini
alikubali kuolewa na huyo?
e) Eleza maana ya maneno na tamathali za semi zifuatazo
i) Fauka ya kuwa
ii) Akilia ngoa
iii) Uzuri wa shani
iv) Akamwaidhi
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya:
i) Juhudi zake hizo si chochote bali ni kutapatapa kwa mfamaji
ii) Leo kapasua yote, hata mtama kamwagia kuku.
(Solved)
Eleza maana ya:
i) Juhudi zake hizo si chochote bali ni kutapatapa kwa mfamaji
ii) Leo kapasua yote, hata mtama kamwagia kuku.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)