Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Nini maana ya kishazi?toa mifano ya vishazi

      

Nini maana ya kishazi?toa mifano ya vishazi.

  

Answers


Kelvin
Kishazi ni sehemu ya sentensi yenye kiima(nomino) na kiarifa(kitenzi)

Aina za vishazi

Kishazi huru-ni kishazi ambacho kina maana kamili kwani huweza kujitegemea chenyeme.Mfano;Amina ameanza kuimba baada ya kumaliza kusali.kwenye mfano huo

Amina ameanza kuimba-kishazi huru
Baada ya kumaliza kusali-kishazi huru


Kishazi tegemwzi-ni kishazi ambacho huhitaji kuunganisha na kingine ili kuleta maana.Mfano Mwanafunzi mwenye bidii atapita mtihani


Kelvin Otiende answered the question on May 10, 2020 at 09:56


Next: Discuss the Advantages of anthropology as a source of information
Previous: In detail define research norms and explain why they are important in research

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions