Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Taja sifa nne za lugha.

      

Taja sifa nne za lugha.

  

Answers


Kavungya
-Lugha zote ni sawa
-Kila lugha ina kanuni zake
-Lugha lazima iwe inahusu binadamu
-Lugha ina uwezi wa kukua hasa kiteknolojia
-Lugha hufa na msamiati wake kupotea
Kavungya answered the question on November 22, 2022 at 06:27


Next: Use a phrasal verb to replace the underlined words i) The school programme has been altered. ii) I cannot understand what he is saying....
Previous: Explain two different meanings of the following sentence. The chicken is ready to eat.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Ni nini maana ya lugha?(Solved)

    Ni nini maana ya lugha?

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Andika sentensi hizi katika nyakati zilizo kwenye mabano. Wageni walisafiri kwenda ng’ambo. (ujao) Mtoto anakula chakula. (mazoea)(Solved)

    Andika sentensi hizi katika nyakati zilizo kwenye mabano.
    Wageni walisafiri kwenda ng’ambo. (ujao)

    Mtoto anakula chakula. (mazoea)

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Eleza maana mbili za neno paa.(Solved)

    Eleza maana mbili za neno paa.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Onyesha kikundi Nomino na Kikundi Tenzi katika sentensi sifuatazo Mwizi aliyetoroka amepatikana mjini Mwanafunzi mwerevu amepita vizuri(Solved)

    Onyesha kikundi Nomino na Kikundi Tenzi katika sentensi sifuatazo
    Mwizi aliyetoroka amepatikana mjini

    Mwanafunzi mwerevu amepita vizuri

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Andika kinyume cha sentensi hii. Tajiri aliyekashifiwa amebarikiwa. (Solved)

    Andika kinyume cha sentensi hii.
    Tajiri aliyekashifiwa amebarikiwa.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Jaza jedwali lifuatalo kwa kauli mwafaka.(Solved)

    Jaza jedwali lifuatalo kwa kauli mwafaka.
    fig11.png

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Andika ukubwa wa sentensi uliyopewa. Kijiti hiki kilipotezwa na kitoto hiki.(Solved)

    Andika ukubwa wa sentensi uliyopewa.
    Kijiti hiki kilipotezwa na kitoto hiki.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Yakinisha sentensi uliyopewa. Mama hakuenda sokoni wala hakupika.(Solved)

    Yakinisha sentensi uliyopewa.
    Mama hakuenda sokoni wala hakupika.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Andika sentensi zifuatazo upya kwa kutumia kirejeshi ‘amba’ Gunia lililoletwa ni lake. Wavu umekatika. Wavu ni wao. (Solved)

    Andika sentensi zifuatazo upya kwa kutumia kirejeshi ‘amba’
    Gunia lililoletwa ni lake.

    Wavu umekatika. Wavu ni wao.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Taja aina tatu za maktaba.(Solved)

    Taja aina tatu za maktaba.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Majina yafuatayo yamo katika ngeli gani: Nywele Maji Jibwa(Solved)

    Majina yafuatayo yamo katika ngeli gani:
    Nywele

    Maji

    Jibwa

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Ainisha viambishi katika sentensi ifuatayo: Alimtembelea(Solved)

    Ainisha viambishi katika sentensi ifuatayo:
    Alimtembelea

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Akifisha sentensi hii. sikukuu ya madaraka nilikwenda eldama ravine kumwona yohana naye akasema atakuja kuniona pamoja na mkewe mariamu siku ya jumapili.(Solved)

    Akifisha sentensi hii.
    sikukuu ya madaraka nilikwenda eldama ravine kumwona yohana naye akasema atakuja kuniona pamoja na mkewe mariamu siku ya jumapili.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Andika kwa umoja. Machaka ya waridi hayazai maua meusi Walituandikia nyaraka ndefu.(Solved)

    Andika kwa umoja.
    Machaka ya waridi hayazai maua meusi

    Walituandikia nyaraka ndefu.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Ainisha silabi katika maneno yafuatayo Lugha Muhtasari(Solved)

    Ainisha silabi katika maneno yafuatayo
    Lugha

    Muhtasari

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Onyesha matumizi matatu ya kiimbo katika sentensi ifuatayo: Mtoto analia.(Solved)

    Onyesha matumizi matatu ya kiimbo katika sentensi ifuatayo:
    Mtoto analia

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Weka shadda katika maneno haya. Maharagwe Tupa(Solved)

    Weka shadda katika maneno haya.
    Maharagwe

    Tupa

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Taja konsonanti ambazo ni viyeyusho.(Solved)

    Taja konsonanti ambazo ni viyeyusho.

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Eleza sifa za sauti zifuatazo: /o/ /Sh/(Solved)

    Eleza sifa za sauti zifuatazo:
    /o/
    /Sh/

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)

  • Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata: Hapo zamaniza kale palikuwa na mfalme aliyesifika sana. Sifa zake zilienea karibu na mbali. Zilienea kama moto nyikani msimu wa...(Solved)

    Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali yanayofuata:
    Hapo zamaniza kale palikuwa na mfalme aliyesifika sana. Sifa zake zilienea karibu na mbali. Zilienea
    kama moto nyikani msimu wa kiangazi.
    Mstahiki Salamwana Salamwene, maana hili ndilo lilikuwa jina lake, alikuwa mtu wa ajabu sana. Asili
    yake yenyewe ilikuwa kitendawili. Inasemekana mamake alibeba mimba iliyopita miezi tisa. Na kila
    aliposhangaa alisikia sauti tumboni ikisema. “Mama kuwa na subira, bado ninalainisha lugha yangu”
    Baada ya muda mama alipolalamika alisikia, “Mama ninakaribia, ninamalizia kunoa ubongo wangu.”
    Halafu siku moja ikanyesha mvua kubwa iliyoandamana na radi. Waliokuwepo wanasema waliona
    mmweso mkali ulioangaza hata kwenye milima mikubwa. Salamwene akazaliwa. Moja ya sifa zake
    kubwa ilikuwa hekima na maarifa ya ajabu. Hakuna tatizo la watu wake ambalo alishindwa kulitatua.
    Watu wakawa wanafunga safari za siku nyingi kutoka mbali kuja kwenye ikulu yake. Wengi walienda kwa
    shida za dhati lakini wengine walikuja kumjaribu.
    Siku moja akaja mfanyabiashara tapeli na maua ya aina akamwambia, “Mstahiki mfalme, mtu wako
    anataka kuniuzia maua haya kwa vipande vingi vya almasi name nina shaka kuwa moja ni la bandia
    waweza kuniamulia?” Mfalme hakujibu. Naye inasemekana alipenda zaraa na hivyo alikuwa na miti na
    mimea iliyozaa maua na kutoa harufu anuwai. Basi akaja nyulu na kutua kwenye ua moja. Mfalme
    Salamwana akamtambulisha ua halisi.
    Muda ukayoyoma huku wahitaji wakiingia ikulu na kutoka. Siku moja akaja Binti mfalme mmoja kutoka
    nchi ya mbali na msafara mkubwa. Alipokewa kwa taadhima. Alikaa mwezi mmoja. Kila siku alikaa
    kwenye baraza akishuhudia mfalme akiyatatua matatizo ya watu. Jioni walikaa na mfalme pamoja
    wapambe wao akijifunza kutoka kwenye hazina kubwa ya busara ya Mstahiki Salamwana.
    Usiku uliotangulia kuondoka kwa mgeni, Salamwana alitoa amri za ajabu. Kwanza, aliamuru magudulia
    yote ya maji kwenye chumba cha kulala mgeni yabadilishwe. Pili, alimwamuru mpishi kupika chakula
    kilichokolea viungo kutoka Bara Hindi. Tatu, aliwaamuru wapambe kuwa mgeni akiomba chochote
    wasimpe ila wamfahamishe. Usiku huo, mgeni alihisi kiu kikali lakini aliponyanyua gudulia kumimima
    maji kwenye bilauri ya dhahabu, halikuwa na maji. Akajaribu la pili, magudulia yote ya shaba yaliyokuwa
    chumbani hayakuwa na maji. Alijitahidi kuvumilia lakini wapi! Ilibidi atafute msaada kwa wapambe nao
    wakamweleza walivyoambiwa. Mwanzoni aliona ni kukosa fadhila kumsumbua mwenyeji mwenye
    staha kama mfalme. Kiu ilipozidi kumkeketa koo alisalimu amri. Mfalme alifahamishwa. Na kama
    aliyejua alichoitiwa akaja na kigudulia kidogo chenye nakshi ya dhahabu na kifuko cha hariri. Alikuwa
    radhi kumpa mgeni sharubati ya kukata kiu ila kwa masharti. Anapokunywa maji ameze na zawadi
    atakayompa ambayo angeitapika afikapo nyumbani.
    Keshowe mgeni aliagwa kwa mbwewe na taadhima. Akaanza safari iliyochukua takriban mwezi mmoja.
    Baada ya miezi kumi, Mstahiki Salamwana Salamwene alipata risala kuwa Binti wa Mfalme alikuwa
    ameitapika zawadi aliyopewa kama alivyokuwa amekula yamini. Hicho kikawa kitendawili kwa watu
    wengi. Wakabaki wakiulizana jibu la fumbo hilo.

    Maswali
    1. Ipe hadithi hii anwani mwafaka.
    2. Kwa nini ilisemekana asili ya Mfalme Salamwana ilikuwa kitendawili?
    3. Eleza sifa sita za mfalme zinazojitokeza kwenye kifungu.
    4. Ni watu gani walikuja kwa mfalme.
    5. Mfalme alitumia hekima gani kutambua ua la bandia.
    6. Ni zawadi gani aliyopewa Binti mfalme aliyoitapika alipofika nyumbani?
    7. Ni ujumbe upi unaopatikana kutoka na hadithi hii.
    8. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika kifungu.
    i. Maguduli
    ii. Sharubati
    iii. Dhati
    iv. yamini

    Date posted: November 22, 2022.  Answers (1)