Trusted since 2008
Chat on WhatsApp

Uchanganuzi wa makosa ya kifonolojia ya lugha ya kiswahili yanayotokana na lugha ya kikuyu

815 Views
0 Purchases

Summary

Uchanganuzi wa makosa ya kifonolojia ya lugha ya kiswahili yanayotokana na lugha ya kikuyu

IKISIRI
Lugha ya kiswahili ina mfumo wa kifonolojia ambao una ubinafsi unapolinganishwa na lugha nyinginezo. Ingawa kiswahili ni lugha ya kibantu kunadhihirika tofauti anuwai tunapolinganisha muundo wa lugha hii na lugha ya kikuyu katika kiwango cha kifonolojia. Hii inasababisha utofauti unaosababisha kuwepo kwa athari za kifonolojia ambazo zinadhihirika katika matumizi ya lugha ya kiswahili na wazungumzaji wa lugha ya kikuyu. Hili linachangia kuwepo kwa utafiti huu utakaolenga uchunguzi wa makosa ya kifonolojia yanayotokana na lugha ya kikuyu katika kujifunza lugha ya kiswahili ili kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua makosa hayo.

Below is the document preview. Purchase to access the complete document.

  • Page 1 – Uchanganuzi wa makosa ya kifonolojia ya lugha ya kiswahili yanayotokana na lugha ya kikuyu – Kenyaplex
  • Page 2 – Uchanganuzi wa makosa ya kifonolojia ya lugha ya kiswahili yanayotokana na lugha ya kikuyu – Kenyaplex
........

This is the end of this document preview. Buy to download the complete document.

Recommended Resources

More Resources


More Content By Joe kinyua


View all resources  

What Our Users Say