Uhakiki wa Tamthilia: Tunda la Msimu

Institution: University and secondary

Course: Kiswahili

Content Category: Summaries

Posted By: 07987710xx

Document Type: DOCX

Number of Pages: 5

Price: KES 150
Buy with Email    Buy via WhatsApp
    

Views: 62     Downloads: 0

Summary

Uhakiki wa Tunda la Musimu.

Ufaafu wa anwani
Neno tunda lina maana ya zao la mmea.
Msimu ni kipindi au wakati fulani wa jambo kutendeka.
Hivyo basi tunda la msimu katika tamthilia hii inamaanisha Ile hali ya kuwepo na hali fulani na ambayo hubadilika baadae

Mfano, baada ya nchi ya Mashaka kuongozwa na kiongozi katili na fisadi, inafikia wakati wa uongozi mbaya wa Liwali kutamatika na Mashaka kuwa na kiongozi mpya ambaye ni Ngozi.
Hii inadhihirisha msimu tu ambao umefika mwisho na msimu mwingine wa mafanikio kuanza.
.....................................


Below is the document preview. Purchase to access the complete document.

  • Uhakiki-wa-Tamthilia-Tunda-la-Msimu_15032_0.jpg
  • Uhakiki-wa-Tamthilia-Tunda-la-Msimu_15032_1.jpg
........

This is the end of this document preview. Buy to download the complete document.


More Resources



View all resources