Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja sifa zozote tano za hadithi kama utanzu wa fasihi simulizi.

Taja sifa zozote tano za hadithi kama utanzu wa fasihi simulizi.

Answers


KELVIN
a)Hutumia ya lugha ya mtiririko au nathari-kueleza matukio moja kwa moja.
b)Hurithishwa jamii kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
c)Huwasilishwa mbele ya hadhira
d)Hutambwa mahali maalum k.v. ndani ya nyumba, chini ya mti, uwanjani, n.k.
e)Huweza kutokana na matukio halisi (kihistoria) au ya kubuni.
f)Huwa na mafunzo fulani kwa jamii/hadhira.
g)Hutumia wahusika wa aina tofauti k.v. nyumbani, wanyama, ndege, mazimwi, n.k.
h)Hutumia aina nyingine za sanaa k.v nyimbo, methali, ushairi, n.k.

kalvinspartan answered the question on October 20, 2017 at 16:44

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions