Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja sifa tano za misimu

Taja sifa tano za misimu

Answers


KELVIN
i.Ni kauli fupi.
ii.Hutumiwa na kundi dogo la watu.
iii.Huzuka katika mazingira na kipindi maalum.
iv.Ni lugha ya kimafumbo.
v.Hutumiwa na kundi dogo la watu katika jamii.
vi.Huzuka na kutoweka baada ya muda.
vii.Kunazo hudumu na kukubaliwa kama lugha sanifu k.v. matatu, bodaboda, chai, chokora, daladala, n.k.

kalvinspartan answered the question on October 24, 2017 at 14:35

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions