Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Ushairi una dhima gani katika jamii

Ushairi una dhima gani katika jamii

Answers


KELVIN
i.Kuburudisha watu katika sherehe au shughuli fulani ya kijamii.
ii.Kutakasa hisia au kutoa hisia zinazomsumbua mtu.
iii.Kufunza maadili au tabia zinazokubalika na jamii.
iv.Kufariji watu kutokana na maafa, kifo au kushindwa.
v.Kukuza uzalendo kwa kuhimiza watu kuiga waliotendea jamii mambo makuu k.v. mashujaa.
vi.Kuhifadhi historia ya jamii k.m. maghani simulizi na tenzi.

kalvinspartan answered the question on October 24, 2017 at 14:43

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions