Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

“Kuna heri gani kuonana na kisabaluu huyu uso wa kifuu” (a) Eleza muktadha wa dondoo hili (b) Eleza umuhimu wa mzungumzaji...

UTENGANO: SAID. A. MOHAMMED.

4. “Kuna heri gani kuonana na kisabaluu huyu uso wa kifuu”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili

b) Eleza umuhimu wa mzungumzaji

Answers


Davis
a).i)Ni Bi Farashuu aliyekuwa akizungumza na
ii)Kabi
iii)Ni nvumbani kwa Kabi
iv) Alikuwa akimrejelea Maimuna punde tu alipofika kwa Kabi baada ya safari ndefu kufahamishwa kuwa Maimuna ndiye mke miukuwe aliyetarajia kumwoa.

b). - Mzungumzaii ni Bi Farashuu
Alitamka haya alipompata Maimuna nyumbani kwa Kabi na
i. Ametumwa kuonyesha udhalimu wa Maksuudi.
ii.Ametumwa kuendeleza maudhui va uasherati.
iv.Ametumwa kuendeleza maudhui ya utu.
Githiari answered the question on April 30, 2019 at 14:15

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions