Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)

Kwa kuzingatia hadithi zozote tano eleza uozo wa jamii kama unavyojitokeza katika tumbo lisiloshiba (Diwani)

Answers


Kavungya
a) Tumbo lisiloshiba
- Dhuluma na unyanyashaji
Ardhi ya wanamadoporokomoka inatwaliwa na wenye nguvu.
- Tamaa
- Ulafi
- Ukosefu wa haki
- Ukatili

b) Mapenzi ya kifaurongo
- Ubinafsi wa Penina
- Ubaguzi
- Utabaka
- Ufuska.

c) Shogake dada ana ndevu
- Unafiki safia na kimwana
- Uongo wa safia na kimwana
- Utepetevu katika malezi ya Bw. Masudi na Bi. Hamida.
- Uavyaji mimba.

d) Masharti ya kisasa.
- Migogoro katika ndoa
- Kuingilia ndoa kwa pupa
- Kushukiana katika ndoa
- Kukwepa majukumu kwa mwanamke.
- Kujidunisha kwa msingi ya kiwango cha elimu + kazi
- Umbea.

e) Nizikeni papa hapa
- Oti kuingiliana na wanjiru katika mapenzi ya kiholela
- Usamabaji wa ukimwi
- Kupuuza / kubeza maamuzi ya mtu katika maisha.
- Jamii kusahau mashujaa wa baada ya kuugua – Otii alisahaulika.
- Maisha kupotea kutokana na ajali – uendeshaji mbaya
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:05

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions