Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii

Huku ukirejelea diwani ya Tumbo lisiloshiba fafanua matatizo yanayokumba vijana katika jamii

Answers


Kavungya
? Umaskini. Hadithi ya ‘Mapenzi ya kifaurongo’ Dennis Machora anakunywa uji bila sukari
o Hana pesa/maskini
o Ni zikeni papa hapa Otii anaishi kwenye kibanda kilichotalizwa kwa udongo na kuezekwa kwa makuti
o Dawa za kulevya. Hadithi ‘Mkubwa’ vijana wanakufa kwa sababu ya kutumia dawa za kulevya.
o Kubakwa ‘mame Bakali’ Sara anabakwa akitoka kuhudhuria masomo ya ziada usiku.
o Kuavya mimba ‘Shogake dada ana ndevu’ SAfia anaavya mimba, inayosababisha kifo chake.
o Kuvunjika kwa Uchumba ‘Mapenzi ya kifaurongo Peninah anavunja uchumba wake na Dennis Machora kwa sababu ya Dennis kuwa maskini.
o Ukosefu wa ajira ‘Mapenzi ya Kifaurongo’ Dennis amekamilisha masom ya chuo kikuu lakini ametafuta ajira kwa miaka mitatu bila mafanikio.
o Magonjwa – Nizikeni papa hapa’ Otii anaambukizwa virusi vya ukimwi Rehema Wanjiru
o Tamaa ya Mapenzi “Nizikeni papa hapa” Otii ana tamaa ya mapenzi.
o Kulangua dawa za kulevya – ‘Hadithi ya Mkubwa’ N
o Mimba za mapema ‘hadithi ya Mame Bakari’
Kavungya answered the question on May 6, 2019 at 07:09

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions