°kutofautisha mtindo wa lugha miongoni mwa watumiaji na kutambulisha watumiaji
°kunogeza lugha na kuipa ladha kwa kufanya mazungumzo yavutie
°Ni njia moja ya kuikuza na kuitajirisha lugha kwa kuunda msamiati mpya
°kuimarisha fasihi simulizi kwa kuibuka kwa misimu
°kuondoa taswishi katika kutumia lugha katika jamii
SAW answered the question on May 14, 2019 at 12:28
-
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
(Solved)
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
(Solved)
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
(Solved)
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
(Solved)
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
(Solved)
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
(Solved)
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
(Solved)
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
(Solved)
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
(Solved)
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
(Solved)
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau hizi?
(Solved)
Eleza maana ya nahau hizi?
Date posted:
April 23, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa jalada la tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa jalada la tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 22, 2019
.
Answers (1)
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine. Adui ya mwanamke ni mwanamke. Eleza kauli hii ukirejelea hadithi ya ngome ya nafsi na uteuzi wa moyoni
(Solved)
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine.
Adui ya mwanamke ni mwanamke. Eleza kauli hii ukirejelea hadithi ya ngome ya nafsi na uteuzi wa moyoni
Date posted:
April 19, 2019
.
Answers (1)
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine
2. “Karibu ndugu yangu waumini ni kukirimiana tunashukuru, alhamdulilahi sifa zote ni zake Maulana a)Eleza muktadha wa dondoo hili
b)...
(Solved)
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine
. “Karibu ndugu yangu waumini ni kukirimiana tunashukuru, alhamdulilahi sifa zote ni zake Maulana a)Eleza muktadha wa dondoo hili
b) Wahusika hawa walikirimiana vipi?
c) “Kukirimiana” huko kulikuwa na hasara gani?
Date posted:
April 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa za utungaji wa kisanii
(Solved)
Eleza sifa za utungaji wa kisanii.
Date posted:
April 15, 2019
.
Answers (1)
-
Anwani chozi la heri Ni kinaya. Thibitisha
(Solved)
Anwani chozi la heri Ni kinaya. Thibitisha.
Date posted:
April 12, 2019
.
Answers (1)